Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
It seems hujanielewa. Chimbuko la neno Kishikwambi ni lipi?
au mtu kwa vile uko BAKITA unaamua kuibatiza tablet jina la bibi yako! Kwamba bibi yangu anaitwa ekisitoroveti, basi tablet naibatiza jina la bibi yangu EKISITOROVETI 😀 😀 😀 😀 😀 Kukua kwa lugha hakuendi hivyo kwa dunia ya wasomi
Neno "lia" asili yake nini??