Waoga dushelelena mabinti wanaojichua na kuangalia hizo pono wanakimbia nini??
Matunzo ndio uanaume huo.Wanakimbia matunzo
Mimi nimefikisha ujumbe tu. Mjumbe hauawi
hahahahahaWaoga dushelele
hahahaha!Mama Sabrina Miss Natafuta msaidieni jibu huyu
Moja ya madhara ya kuwepo chamani ni kushindwa kutunza kumbukumbu vizuri, hivyo sikumbuki nimejiunga lini na wala sijui kama ni mwanachama.Baba mtumishi hicho chama umejiunga lini?[emoji848]
Huyu anakimbia majukum gani?