Wakuu tujuzane bei ya viazi ulaya huko katika masoko yenu. Kwa Mtwara bei ni 115000 kwa bei ya jana kwa kiroba ambacho sidhani kama kinafika kilo 100 nahisi 90 kg...sio poa chips kavu 2000.
Wakuu tujuzane bei ya viazi ulaya huko katika masoko yenu. Kwa Mtwara bei ni 125000 kwa bei ya jana kwa kiroba ambacho sidhani kama kinafika kilo 100 nahisi 60-80 kg...sio poa chips kavu 2000 na adimu kuipata.