Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Hivi kwanini mkisoma habari za michezo watangazaji wanakuwa na haraka sana. Habari za michezo kama mpira wa miguu hasa ligii kuu ya Tz mnaipa air time kwa dakika chache ama sekunde kadhaa.
Ila habari za michezo ya bao mnatowa muda wa kutosha hadi kuwa hoji wahusika.
Pia ligi ya ujerumani mmetenga hadi kipindi kizima kukielezea. Badilikeni habari zenu za michezo hazivutii hata watangazaji hamuwapi uhuru wa kuvaa nguo za michezo ni kuchomekea mwanzo mwisho kama vile wana soma habari za kitaifa na kimataifa.
Ila habari za michezo ya bao mnatowa muda wa kutosha hadi kuwa hoji wahusika.
Pia ligi ya ujerumani mmetenga hadi kipindi kizima kukielezea. Badilikeni habari zenu za michezo hazivutii hata watangazaji hamuwapi uhuru wa kuvaa nguo za michezo ni kuchomekea mwanzo mwisho kama vile wana soma habari za kitaifa na kimataifa.