Kwenu ITV badilikeni habari zenu za michezo hazivutii hata watangazaji hamuwapi uhuru wa kuvaa nguo za michezo

Umewahi kuangalia habari kupitia star tv..?, wao wanahabari zote hata kama ni juu juu ila wana cover kila sehemu
Kitaifa, kimataifa, bishara, michezo na burudani hapa naongelea michezo yote ndani na nje ya Africa
 
Umewahi kuangalia habari kupitia star tv..?, wao wanahabari zote hata kama ni juu juu ila wana cover kila sehemu
Kitaifa, kimataifa, bishara, michezo na burudani hapa naongelea michezo yote ndani na nje ya Africa
Star tv wana habari chache na zinazoelezewa kwa kina. ITV kuna habari nyingi zenye maelezo ya juujuu

Ni kitendo chs kupunguza habari ziwe chache na zenye maelezo ya kina au nyingi kwa kugusigusia wati wajue kinachoendelea
 
Ila tusema tu bongo vyombo vya habari bado sana,ukisikiliza bbc swahili au VOA, lisaa limoja tu inapangwa ikapangika,Habari zote kwa undani dunia nzima,vipindi vingine kama mijadala ya kisiasa ,kiuchumi, afyana mambo ya kijamii, maoni ya wasikilizaji,dondoo za kwenye mitandao ya kijamii na burudani ya mziki kwa kama sekunde 30 humo ndani.
Kwenye michezo utapata matokeo ya ligi mbali mbali kubwa na michezo inayofuata ndani ya dk kama 5 na inaeleweka.
 
Mbona PEDRO PINTO alikuwa anavaa suti lakini bado FIFA walimuona na kumchukua toka CNN na kumuajiri?
 
Yote ni sawa.

Ila hili la mavazi naona mnafanya mambo yawe magumu.
Kwani mtangazaji anaenda kusoma habari au kucheza mpira mpaka avae jezi.

Halafu jezi sio vazi la kazini.
Hata CNN na BBC sijawahi kuona mtangaxaji kavaa jezi wachen ushamba hv mbavotaka itakuwa kila habari inayosomwa mtangazaji akabadilishe vazi so siku nzima itakua kusikiliza habari na pendant na picha yenyew mfano habari za afya avae stethoscope na koti jeupe haaa patient habar za dunia mjue
 
Azam Media waliona hili gap la ITV wakalitumia. ITV kwenye michezo ni zero kabisa
 
Bongo mwenye mali akifa ndio basi tena hizo kampuni hazina muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…