Kwenu madada ambao hamjaolewa.

Kwenu madada ambao hamjaolewa.

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Hivi ni kwa nini kale ka umri ka kuolewa kakianza kuwaacha acha kuwapita huwa mnamtumainia sana mungu.
Yaani hata post zenu kwenye mitandao ya kijamii huwa ni za kimungu mungu. Hivi ni kwa nini?
 
Aahh si ndio hawa wakiwa sekondari wanasema mchumba wao ni Yesu[emoji23][emoji23] wakifika umri hawajaoelewa wanarudi kwake


ila me natania tu....


Alafu mkuu mbona umefanya kama ndoa ni kitu cha lazima? Kila mtu ana uhuru na maisha yake
 
Hivi ni kwa nini kale ka umri ka kuolewa kakianza kuwaacha acha kuwapita huwa mnamtumainia sana mungu.
Yaani hata post zenu kwenye mitandao ya kijamii huwa ni za kimungu mungu. Hivi ni kwa nini?
mungu hukumbukwa upesi kwenye shida bro.

hakuna mwizi wa kinyesi na Wana Linda Choo,
 
Waache madada zetu watapata ndoa muda muafaka, Mungu wetu ni Mungu wa wakati kamili.
 
Back
Top Bottom