Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,517
- 1,869
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ambao umewagusa aidha moja kwa moja au wanaelekea ktk hicho kipindi watakunyonyoa mkuu, lazima uvumilie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ambao umewagusa aidha moja kwa moja au wanaelekea ktk hicho kipindi watakunyonyoa mkuu, lazima uvumilie.
Aahh si ndio hawa wakiwa sekondari wanasema mchumba wao ni Yesu[emoji23][emoji23] wakifika umri hawajaoelewa wanarudi kwake
ila me natania tu....
Alafu mkuu mbona umefanya kama ndoa ni kitu cha lazima? Kila mtu ana uhuru na maisha yake
Basi Nina kadi ya njano tayari....Kuanzi 25 kwenda juu ni red kadi
Vijana wanashangazaHalafu utakula yeye mwenyewe hajaoa sasa sijui anataka nani awaoe?
Kwaiyo unaona umevuka uanze kuwasema wenginee..dunia ina mengi tulia weweNamshukuru mungu ninao ila wote wameolewa kwa kweli wako na ndoa zao kabisa
Hizi mada za kuwaandama wadada sijui zitaisha lini..utafikiri we huna madada
Kwanini unateseka
Halafu utakula yeye mwenyewe hajaoa sasa sijui anataka nani awaoe?
Mtoa mada nina imani kwa majibu hayo☝ hapo juu utakuwa umejifunza kitu....We nae mchokozi tu hebu achana na sisi kwanza...
Kwa sasa unamiliki mashemeji wangapi?Namshukuru mungu ninao ila wote wameolewa kwa kweli wako na ndoa zao kabisa
Anateseka na umri wenu.Wewe unateseka na nn mkuu ?
Anateseka na umri wenu.
Njoo nikuoe serious nitafute I can grantee kikubwa uwe unajitambuaHizi mada za kuwaandama wadada sijui zitaisha lini..utafikiri we huna madada