Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

Kwenu madaktari-hivi Tanzania ugonjwa ni malaria tu?

mkuu hili ni jukwaa huru, hata kama sijui hivyo ulivyoviandika hapo juu wewe unatakiwa ujibu (kama unataka) hoja iliyopo mezani. Na mimi nikikuuliza vitu nilivyosoma mimi kwa muda wote niliokuwa shule hutavijua. Cha msingi jibu hoja dr.na kuwa tayari kupokea challenges! Suala la mtoto wangu kuugua homa kali halina uhusiano na hoja iliyo mezani

point niliotaka uelewe ni kwamba kipimo kinaweza kuonyesha una malaria na ili hali huna au kinaweza
kuonyesha huna kumbe unayo. Hakuna kipimo kilicho 100% sensitive na 100% specific.

note: It is what we think we know already that preavents us from learning
 
Kila la kheri.najua haujui mfumo wa afya unavyo-operate nchi hii
Dr. Maubero na mwenzio Mpigania uhuru, nawashauri muangalie ITV malumbano ya Hoja usiku huu ndo mjue kwamba sisi wananchi tunafikiria nini kuhusu nyie!
Suala la kuniambia nikikuambia dalili zangu bila kunipima wewe utajua kama ni malaria na unipe dawa tu nakufananisha na mganga wa kienyeji aliyepiga ramli na kwa nini nije kwako kama hizo dalili na mimi nazijua na dawa ziko dukani? nadhani ZeMarcopolo- nadhani ni mwalimu wenu ametoa majibu yenye akili
 
Hapa umetumia elimu ya juu sana.jaribu kurahisiha ili huyu msoma vitabu akuelewe.
UNAJUA POSITIVE PREDICTIVE VALUE NA NEGATIVE PREDICTIVE VALUE YA KIPIMO CHA MALARIA (BS) NA WIDAL TEST?
unajua prevalence ya typhoid hapa Dar?
UNAJUA TAFSIRI YA KIPIMO CHA TYPHOID (WIDAL TEST) KUWA POSITIVE MAANA YAKE NI NINI?
JE UNAJUA NI MUDA GANI UNAPITA MTU ALIYEKUWA POSITIVE KUWA NEGATIVE?
tatizo la watanzania kila kitu wanajua wao.
ngoja siku mtoto wako awe na homa ulete kujua kwako; ndio utajua majuto ni mjukuu.
 
hapa umetumia elimu ya juu sana.jaribu kurahisiha ili huyu msoma vitabu akuelewe.
asante.
Unajua tatizo mtaani kila mtu dr.
Kama unataka uamini kuweni na mgonjwa hapo nyumbani kwenu karibu kila mtu anayekuja kumsalimia atatoa dawa/utaalam wake.
Ndio maana average lifespan mtanzania ni around 50yrs wakati wenzetu kama norway ni around 80yrs. Anaway hii ni neema kwa mashirika yanayolipa pension kwa sababu wachache sana huwa wanazidi 60yrs.
 
ni kweli.mwaka jana tuliuguzajirani yetu mwenye advanced gastric carcinoma ambaye alipelekwa muhimbili with gastric outlet obstruction.bahati mbaya ndugu walimtorosha muhimbili na kumpeleka kwa traditional healer huko vingunguti aliyejidai anatibu kansa aina zote.siku chache baadae mganga alipoona hali imebadilika mgonjwa kapoteza fahamu, akawaambia sasa muwahisheni muhimbili nimeshaweka mambo sawa, mkifika atapona.Jamaa akafia njiani.na yule mganga kahama huko vingunguti
asante.
Unajua tatizo mtaani kila mtu dr.
Kama unataka uamini kuweni na mgonjwa hapo nyumbani kwenu karibu kila mtu anayekuja kumsalimia atatoa dawa/utaalam wake.
Ndio maana average lifespan mtanzania ni around 50yrs wakati wenzetu kama norway ni around 80yrs. Anaway hii ni neema kwa mashirika yanayolipa pension kwa sababu wachache sana huwa wanazidi 60yrs.
 
Back
Top Bottom