Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Mr Rocky unataka kuwa kama mbuni mkuu? manake huwa anaficha kichwa mchangani kisha anadhani amejificha kiwiliwili chote

Kaizer siwezi kuwa kama mbuni mkuu ndo maana naikubali shule yako ni muhimu sana kuzingatia haswa sisi ambao tuko tayari kwenye ndoa. Ndoa zetu bado changa na tamu aise sasa nikianza kuingia deep na kusaka mbadala nafikiri naweza kuzama moja kwa moja na kujikuta hata ndoa yangu nashindwa kuitendea haki
 
Last edited by a moderator:

ewaaa sasa hapo ndo umeongea, using'ate usichoweza kutafuna mkuu, hilo la kwamba ndoa yako na Dena Amsi kwamba ni changa I doubt
 
Last edited by a moderator:
Uewiii usitokehuko ukosehemusahihii
 
[QUOTis mad zer;11528632]Nimependa ujumbe wako "take another shot" Baby is Mad[/QUOTE]
Utakujalipa aka nikimbie maanaa wajanjawanakunywamaji kwanza ukijawanarudi name shot
Baby ismad take note usijevuliwanguo bar kwakuingeza kashot
 
Topic nzuri umetoa maneno mazuri ya nasaha...but after reading this, I just felt nyumba ndogo ni another form ya utumwa fulani. Sorry ladies who are in this situations, hebu tutafute another idea on enterpreneurship sio hii.
 
Nafanya competition na mama Mcharo!Infact next year nataka nimreplace kabisaaa...ha ha ha!
 
[QUOTis mad zer;11528632]Nimependa ujumbe wako "take another shot" Baby is Mad
Utakujalipa aka nikimbie maanaa wajanjawanakunywamaji kwanza ukijawanarudi name shot
Baby ismad take note usijevuliwanguo bar kwakuingeza kashot[/QUOTE]

:banghead::banghead::banghead:
 
Topic nzuri umetoa maneno mazuri ya nasaha...but after reading this, I just felt nyumba ndogo ni another form ya utumwa fulani. Sorry ladies who are in this situations, hebu tutafute another idea on enterpreneurship sio hii.

Hakuna penzi tamu kama penzi la wizi.... Kama huamini tujaribu uone.
 
ewaaa sasa hapo ndo umeongea, using'ate usichoweza kutafuna mkuu, hilo la kwamba ndoa yako na Dena Amsi kwamba ni changa I doubt


Mkuu Kaizer bado penzi linapaliliwa na kuongezwa vionjo kila siku ndo maana inaonekana changa japo ni ya muda sana
Na ndo maana kila siku ndoa inaonekana mpya maana ubunifu na manjonjo yanaongezeka kila siku aise
Nikiona kipya na kizuri unawehuka aise unaenda kando
 
Last edited by a moderator:
Topic nzuri umetoa maneno mazuri ya nasaha...but after reading this, I just felt nyumba ndogo ni another form ya utumwa fulani. Sorry ladies who are in this situations, hebu tutafute another idea on enterpreneurship sio hii.

Thank you MadameX for your thoughtful comment on this....I have thought about it and reflected on it....I find it perplexing that albeit its 'slavery' nature, ladies still find comfort in such relationship...hence my advice 'in good faith'
 
Last edited by a moderator:

mkuu nimekusoma apo ina maana atakayekupeleka kando ajipange, asome angalizo langu tu maana watu kama nyie ndo vile tena utataka upate cha ziada, kama hakipo unasepa
 

Unaweza kuijaribu sumu kwa kuionja kama maziwa pembeni.

Kufa kishujaa ndio mpango mzima.

Michepuko haiepukiki.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaa uwiiiiii yaani nimecheka mie.

Hakyanani hyo mo 4 duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…