Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

sasa mkuu Dark City, ukiandika hivi hawa watoto ambao kila siku tunasema wasipochafuka watajifunzaje huoni kama watatoka kapa kabisa? Hivi snowhite umemwona? maana na yeye huwa ana mapractical sana

Hahahahahaha,

Anakuja sasa hivi huyo teacher snowhite....

Ila duuuuuuhhhh....ngoja niendelee na pension yangu!!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer kwani umeamkaje leo??? Hii kweli funga mwaka
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuongeza pia msipende kusimulia mapungufu ya mkeo kwa nyumba ndogo e.g mke wangu hajui kupika, mke wangu mvivu, housegal ndio anafanya kila kazi nyumbani, mke wangu ni mtu wa vikao na kitchen party hana muda na mimi na bla bla kibao.
Kufanya hivi ni kuipa nafasi nyumba ndogo kucheza karata zake vizuri ili kukuteka kiakili baada ya kugundua nini hukipati kwa mkeo.
Ndio ile unaona dume zima sasa linaloea nyumba ndogo, na kusahau familia kwa sababu ya mambo ambayo baba kayasababisha.
Ukiwa na nyumba ndogo, ongeeni yenu, msifie pale anapofanya la kukufurahisha lakini huna sababu ya kulinganisha.
Epuka kumtaja taja mkeo ukiwa na nyumba ndogo, maana haimhusu, ulijua una mke lakini bado ulikuja kwangu, hivyo habari za mkeo hazina tija hata moja kwenye mahusiano yetu.
Kwa vile umeamua mwenyewe kua na nyumba ndogo, bila kulazimishwa na mtu na una sababu za msingi kufanya hivyo, basi nyumba ndogo ikikuheshimu, kukuthamini na kukupa unachostahili, basi na wewe lipa fadhila kwa kuitendea haki inayostahili.
Ni haya kwa sasa, nikikumbuka mengine nitaingezea.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa kuongeza pia msipende kusimulia mapungufu ya mkeo kwa nyumba ndogo e.g mke wangu hajui kupika, mke wangu mvivu, housegal ndio anafanya kila kazi nyumbani, mke wangu ni mtu wa vikao na kitchen party hana muda na mimi na bla bla kibao.
Kufanya hivi ni kuipa nafasi nyumba ndogo kucheza karata zake vizuri ili kukuteka kiakili baada ya kugundua nini hukipati kwa mkeo.
Ndio ile unaona dume zima sasa linaloea nyumba ndogo, na kusahau familia kwa sababu ya mambo ambayo baba kayasababisha.
Ukiwa na nyumba ndogo, ongeeni yenu, msifie pale anapofanya la kukufurahisha lakini huna sababu ya kulinganisha.
Epuka kumtaja taja mkeo ukiwa na nyumba ndogo, maana haimhusu, ulijua una mke lakini bado ulikuja kwangu, hivyo habari za mkeo hazina tija hata moja kwenye mahusiano yetu.
Kwa vile umeamua mwenyewe kua na nyumba ndogo, bila kulazimishwa na mtu na una sababu za msingi kufanya hivyo, basi nyumba ndogo ikikuheshimu, kukuthamini na kukupa unachostahili, basi na wewe lipa fadhila kwa kuitendea haki inayostahili.
Ni haya kwa sasa, nikikumbuka mengine nitaingezea.


Sent from my iPhone using JamiiForums

cc Kaizer nimekupenda bure da asia
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuongeza pia msipende kusimulia mapungufu ya mkeo kwa nyumba ndogo e.g mke wangu hajui kupika, mke wangu mvivu, housegal ndio anafanya kila kazi nyumbani, mke wangu ni mtu wa vikao na kitchen party hana muda na mimi na bla bla kibao.
Kufanya hivi ni kuipa nafasi nyumba ndogo kucheza karata zake vizuri ili kukuteka kiakili baada ya kugundua nini hukipati kwa mkeo.
Ndio ile unaona dume zima sasa linaloea nyumba ndogo, na kusahau familia kwa sababu ya mambo ambayo baba kayasababisha.
Ukiwa na nyumba ndogo, ongeeni yenu, msifie pale anapofanya la kukufurahisha lakini huna sababu ya kulinganisha.
Epuka kumtaja taja mkeo ukiwa na nyumba ndogo, maana haimhusu, ulijua una mke lakini bado ulikuja kwangu, hivyo habari za mkeo hazina tija hata moja kwenye mahusiano yetu.
Kwa vile umeamua mwenyewe kua na nyumba ndogo, bila kulazimishwa na mtu na una sababu za msingi kufanya hivyo, basi nyumba ndogo ikikuheshimu, kukuthamini na kukupa unachostahili, basi na wewe lipa fadhila kwa kuitendea haki inayostahili.
Ni haya kwa sasa, nikikumbuka mengine nitaingezea.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Noted with thanks

cc: Kaizer

Umesahau moja..... ni marufuku nyumba ndogo kulia wivu wa kimapenzi. Ukumkuta mwizi mwenzio yuko na mwizi mwingine usianzishe zali..... badala yake ongeza juhudi umzidi mwizi mwenzio.

Ukitaka kumpiku mwizi, kuwa jambazi.
 
Last edited by a moderator:
Ni marufuku pia baba kulia wivu kwa nyumba ndogo, peleka wivu kwa nyumba kubwa. Maadam nimejitoa mhanga kua na wewe wakati umeoa, basi ukiwa uko kwa mkeo niache na mimi nijiachie with friends.
Sio kutwa mawivu kwa mambo ambayo hayapo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Noted with thanks

cc: Kaizer

Umesahau moja..... ni marufuku nyumba ndogo kulia wivu wa kimapenzi. Ukumkuta mwizi mwenzio yuko na mwizi mwingine usianzishe zali..... badala yake ongeza juhudi umzidi mwizi mwenzio.

Ukitaka kumpiku mwizi, kuwa jambazi.

Heehehehhee...........na ukitaka kumpiku jambazi ,unakuwa?
 
Last edited by a moderator:
Ni marufuku pia baba kulia wivu kwa nyumba ndogo, peleka wivu kwa nyumba kubwa. Maadam nimejitoa mhanga kua na wewe wakati umeoa, basi ukiwa uko kwa mkeo niache na mimi nijiachie with friends.
Sio kutwa mawivu kwa mambo ambayo hayapo.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sound like no string attached..........
 
  • Thanks
Reactions: RR
Back
Top Bottom