That's my girl!!!!!.............. Mwaaaa kwa lips za mamaafacebook.
ok... ila ujiandae... mamaafacebook...Sasa tufanyeje ili tupendane zaidi na zaidi??? Mi niko tayari kuwa mchepuko wako.
"Hawara anauma kuliko mke" Kaizer tutaongea vizuri kwenye stuli ndefu kwa sasa ngoja nikitendee haki hiki kibaridi...gadem mazafantazz
ok... ila ujiandae... mamaafacebook...
Duuuuh....mi hii elimu hainifai asilani kwa sababu sitegemei kujiunga na hiyo shule siku zote za uhai wangu eeh Mungu nisaidie.
Word mzee mwenzangu Kaizer.....
Sasa kuna kitu sielewi.....kwana Askofu ni mbeibs?
Back to topic....
Msisitizo namba 5.....lazima nyumba ndogo itambua na kuelewa hakuna wakati wowote anashindana na mwenye mali....as simple as that!! Nyumba ndogo sio sub ya matatizo ya mwenye mali....nyumba ndogo inasaidia kukamilisha idadi ya wanawake kwa wanaume.....naturally!
Nitarudi...
usiseme hayo mambo hutokea tu.
Kama ya wale wa dr kisarawe.
Hivi unacheza na vidume vikwale nn
Nnyumba ndogo kuweka miguu kwenye dashboard pindi muwapo garini,
Pia nyumba ndogo kusahau/kuacha kwa makusudi vitu vidogovidogo kama chanua,kibanio,lipstick n.k ndani ya gari ya baba mchepukaji.
Unahisi mmeo ana mchepuko?
Ukigundua mmeo anachepuka utafanyaje?
Ukimfahamu mchepuko wa mmeo utamfanyaje?
We ulishawahi kuchepuka?
Ulishawahi kuwa nyumba ndogo?
Kama bado uko tayari kuchepuka?
Kama uko tayari umejiandaaje mmeo asijue? (Samahani kwa kutoka nje ya mada)
Duuuuh....mi hii elimu hainifai asilani kwa sababu sitegemei kujiunga na hiyo shule siku zote za uhai wangu eeh Mungu nisaidie.
Nnyumba ndogo kuweka miguu kwenye dashboard pindi muwapo garini,
Pia nyumba ndogo kusahau/kuacha kwa makusudi vitu vidogovidogo kama chanua,kibanio,lipstick n.k ndani ya gari ya baba mchepukaji.
Mate na wewe huwa unachepuka?
Hahahahahahhaah........baba mchepukaji ndio uwe makini sasa kukagua gari pindi tu utokapo kwa small nyumba..................