Gusa achia twende kwao
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 248
- 287
aa$#6
Sawa ,Mm naweza nisiajiriwe na Serikali ya Tanzania kupitia labdah Ajira portal ila nikaajiriwa na taasisi binafsi,International organization Zipo mbona tunaona watu wanaajiriwa mkuu ....Hivo concept yangu inakuja hapo Hatakama TCU wakinikataa ila chuo ni best naenda kusoma ....Unaposema zayon hio ni College sisi tupo kwenye mada ya Chuo huoni kuwa unachanganya madesaHatuelewani maana nahisi hujui unachozungumza ila unaenergy ya kubishana😀
Labda nikusaidie bwana mdogo.Sababu zitakazo pelekea TCU wakukatalie ni;
1.UBORA WA CHUO.Nchi yetu hata kama ni masikini na tupo thadi wadi😀😀hatuwezi kuruhusu product za ZAYUNI NA AMAZON kutoka nje kuja kutuletea impaired education and skills🤝
2.HUNA VIGEZO VYA KUSOMA DEGREE KATIKA NGAZI YA KITAIFA.Ikiwa hujafikisha CUTOFF POINTS ya principal pass mbili kwa advance level au GPA ya 3.0 kwa equivalent entry. TCU hawawezi kukuruhusu ukasome maana huna vigezo......period!!!
📌📌📌Kwahiyo mtu yoyote aliyekataliwa kupewa barua ya uthibitisho ujue ana kimoja au vyote katika huzo sababu hapo juu.Sawa bwana mdogo.