Kwenu mnaotaka kusoma degree nje ya nchi kwa malengo ya kuajiriwa Tanzania, Kama chuo hakina umaarufu ni bora usome hapa hapa, Utateseka !

Kwenu mnaotaka kusoma degree nje ya nchi kwa malengo ya kuajiriwa Tanzania, Kama chuo hakina umaarufu ni bora usome hapa hapa, Utateseka !

aa$#6
Hatuelewani maana nahisi hujui unachozungumza ila unaenergy ya kubishana😀

Labda nikusaidie bwana mdogo.Sababu zitakazo pelekea TCU wakukatalie ni;

1.UBORA WA CHUO.Nchi yetu hata kama ni masikini na tupo thadi wadi😀😀hatuwezi kuruhusu product za ZAYUNI NA AMAZON kutoka nje kuja kutuletea impaired education and skills🤝

2.HUNA VIGEZO VYA KUSOMA DEGREE KATIKA NGAZI YA KITAIFA.Ikiwa hujafikisha CUTOFF POINTS ya principal pass mbili kwa advance level au GPA ya 3.0 kwa equivalent entry. TCU hawawezi kukuruhusu ukasome maana huna vigezo......period!!!

📌📌📌Kwahiyo mtu yoyote aliyekataliwa kupewa barua ya uthibitisho ujue ana kimoja au vyote katika huzo sababu hapo juu.Sawa bwana mdogo.
Sawa ,Mm naweza nisiajiriwe na Serikali ya Tanzania kupitia labdah Ajira portal ila nikaajiriwa na taasisi binafsi,International organization Zipo mbona tunaona watu wanaajiriwa mkuu ....Hivo concept yangu inakuja hapo Hatakama TCU wakinikataa ila chuo ni best naenda kusoma ....Unaposema zayon hio ni College sisi tupo kwenye mada ya Chuo huoni kuwa unachanganya madesa
 
Ninawajua watu kama kadhaa walioenda kusoma nje ya nchi miaka ya 2012 hadi 2015, Wamesumbuka sana kwenye soko la ajira imewabidi tu wakubaliane na matokeo kwa kujiendeleza na shughuli nyinginezo

Kwenye ajira degree huwa ina uzito sana hivyo inabidi uwe makini kwenye uchaguzi wa vyuo, Masters haikubani sana ndio maana watu wengi wanaenda kuzisomea hata kwenye vyuo vya kata vya India ilimradi cheti tu chetu tu, sehemu ulikosoma sio sana tofauti na degree.

Kusomesha au kusoma degree nje ya nchi ni muhimu sana kuchagua chuo chenye jina, yani hata ukirudi bongo ukitaja chuo ulichosoma hakuna haja ya kugoogle, Mifano ni Havard, Oxford, Satanford, MIT, Cambridge, Yale, London , etc, Nje ya hapo kama ni vyuo vingine basi viwe ni vina hadhi ya kitaifa mfano kwa Uganda kuna Makerere university , India kuna IIT, Japan kuna university of Tokyo, n.k.

Waajiri wengi wanapenda kuajiri mtu aliesoma vyuo wanavyovijua, Kwa hapa Tz uwe umesoma ndani ya nchi au umesoma vyuo maarufu duniani, hivi hata wewe una kampuni yako mtu anakuja kukuomba ajira lakini chuo alichosoma hujawahi kukisikia tangu uzaliwe, utapata mashaka, hata ukitaka kumsaidia utahitaji ushahidi wa kutosha, mahojiano ya kina, ufanye research, n.k.

Sasa unakurupuka kwenda kusoma katika vyuo visivyo na majina huko India, Malaysia, Thailand, China, n.k. umeingia kwenye mfumo kwasababu ya kuona ada nafuu au umepata scholarship, jiandae kwa stress ukirudi Bongo. Kwanza, baada ya kuhitimu, unalazimika kwenda TCU (Tume ya Vyuo Vikuu) wathibitisha cheti chako, Ikiwa chuo ulichosoma hakifikii viwango vyao utapigwa block kuomba kazi kwa kutumia hicho cheti, Tangazo la kazi linatoka unaanza mchakato wa kuomba ajira, kuna waajiri / mabosi wakiona hawajikui chuo ulichosoma chap chap wanakata jina lako hawataki kujichosha kuanza kukifanyia research, Ikitokea umeitwa interview unaweza kuambiwa urudi tena TCU upate barua nyingine ya uthibitisho, Hata baada ya kupewa barua bado wanakutilia shaka na utaulizwa maswali mengi. Wakati huo wenzako waliosoma hata vyuo vya kawaida hapa Bongo hawakutani na hizo bugudha.

Sio lazima kusoma nje, Kama chuo unachoenda hakina umaarufu ni bora ubaki Tz unless una connection
Weka data twende kwa hoja zenye data sio kubumbabumba kwa hisia tu.
 
aa$#6

Sawa ,Mm naweza nisiajiriwe na Serikali ya Tanzania kupitia labdah Ajira portal ila nikaajiriwa na taasisi binafsi,International organization Zipo mbona tunaona watu wanaajiriwa mkuu ....Hivo concept yangu inakuja hapo Hatakama TCU wakinikataa ila chuo ni best naenda kusoma ....Unaposema zayon hio ni College sisi tupo kwenye mada ya Chuo huoni kuwa unachanganya madesa
Naposema Zayuni and the like namaanisha vyuo vya hovyohovyo dogo wewe mzito sana.Kwani hukusoma FASIHI???

📌📌📌Ukiona mpaka CUTOFF POINTS za TCU zinakupiga chenga huko PRIVATE na International Org ili upenye labda uwe na ndugu yako tena upande wa mamako ndo ataweza kukubeba🤝
 
Nauli 2M.
Ada 10M/yr I assume huko Asia.
Accomodation 7M.

Unamaliza unarudi bongo kulipwa laki5 kwa mwezi, hiyo pesa bora ungefanya mtaji tu kufanya mambo mengine. Kusoma nje kwa kujilipia ili urudi bongo ni kuchezea rasilimali.

kama huendi America na Ulaya bora kusoma bongo tu kwa wanachuo hasa wa kujilipia.
 
Nauli 2M.
Ada 10M/yr I assume huko Asia.
Accomodation 7M.

Unamaliza unarudi bongo kulipwa laki5 kwa mwezi, hiyo pesa bora ungefanya mtaji tu kufanya mambo mengine. Kusoma nje kwa kujilipia ili urudi bongo ni kuchezea rasilimali.

kama huendi America na Ulaya bora kusoma bongo tu kwa wanachuo hasa wa kujilipia.
Fanya research yako upya

Vyuo vingi Asia watanzania wanakimbilia kwasababu ya ada nafuu kama bongo,

Ulaya na Marekani ada na accomodation zipo juu
 
Fanya research yako upya

Vyuo vingi Asia watanzania wanakimbilia kwasababu ya ada nafuu kama bongo,

Ulaya na Marekani ada na accomodation zipo juu

Usafiri, accomodation, ada nk bado umalize uje kugombaniana mshahara wa laki4 na watu waliosoma Muccobs. Hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali. Huko Asia michosho tu.
 
Usafiri, accomodation, ada nk bado umalize uje kugombaniana mshahara wa laki4 na watu waliosoma Muccobs. Hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali. Huko Asia michosho tu.
Hujaona kitu mkuu, hapa bongo gharama za kusomea degree almost milioni 10 hadi 15, watu wanapambania ajira hizo hizo na wapo wengi wanaotoka watupu
 
Hujaona kitu mkuu, hapa bongo gharama za kusomea degree almost milioni 10 hadi 15, watu wanapambania ajira hizo hizo na wapo wengi wanaotoka watupu

Chuo gani bongo ada 15M kwa mwaka labda useme 4yrs? Nje hiyo ni kwa mwaka tu, USA na Ulaya hiyo hata semester haitoshi.

USA na Ulaya have lots more to offer. Scholarship na kazi zipo ukiwa shuleni na hata ukimaliza na Mishahara minono. Asia you're most certainly going back home ukimaliza right away, wenyewe tu hawana kazi na wanalipana peanuts.

Me nawaambia watu kila siku kama huwezi kwenda USA/Europe basi baki bongo usijisumbie kwenda huko vichakani Malaysia, Philippines, Thailand sijui hata China hailipi when it comes to education kwa wageni. Huu ndo uhalisia.
 
Chuo gani bongo ada 15M kwa mwaka labda 4yrs? Nje hiyo ni kwa mwaka tu, USA na Ulaya hiyo hata semester haitoshi.

USA na Ulaya have lots more to offer. Scholarship na kazi zipo ukiwa shuleni na hata ukimaliza na Mishahara minono. Asia you're most certainly going back home ukimaliza right away, wenyewe tu hawana kazi na wanalipana peanuts.

Me nawaambia watu kila siku kama huwezi kwenda USA/Europe basi baki bongo usijisumbie kwenda huko vichakani Malaysia, Philippines, Thailand sijui hata China hailipi when it comes to education kwa wageni. Huu ndo uhalisia.
Ada ya degree - milioni 1.5 kwa miaka 3 milioni 4.5 (Hio ni kwa kozi za kawaida, kozi za computer, engineering zinafikia ada 1.8+, udaktari ni gharama zaidi)

Pocket money - 250,000 kwa mwezi tisa kwa miaka mitatu milioni 6.7

Hostel laki 5 kwa mwaka, kwa miaka mitatu ni milioni 1.5

Usafiri mabasi ya mikoani unaweza fikia laki 5 kwa likizo za kati, likizo za kumaliza mwaka, kurudi chuo, dharura, n.k.

JUMLA MILIONI 13
 
Ada ya degree - milioni 1.5 kwa miaka 3 milioni 4.5 (Hio ni kwa kozi za kawaida, kozi za computer, engineering zinafikia ada 1.8+, udaktari ni gharama zaidi)

Pocket money - 250,000 kwa mwezi tisa kwa miaka mitatu milioni 6.7

Hostel laki 5 kwa mwaka, kwa miaka mitatu ni milioni 1.5

Usafiri mabasi ya mikoani unaweza fikia laki 5 kwa likizo za kati, likizo za kumaliza mwaka, kurudi chuo, dharura, n.k.

JUMLA MILIONI 13

Ukisoma nje fanya *5 kila kitu. Airfare peke yake atleast $1000 hakuna basi la Kimbinyiko la kwenda huko.

Ada inaweza zidi 10M kwa mwaka sio miaka minne kama bongo. US/Europe ni zaidi ya hapo kwa semester tu.

Narudia yale yale, kusoma Asia ni kupoteza nguvu na muda. Kusoma Asia hadi umalize afu urudi kugombania mshahara laki4 na watu wa TEKU ni kuchezea rasilimali. Siwezi mshauri mtu yeyote kwenda kusoma huko. Shoot for the stars au baki bongo.
 
Ukisoma nje fanya *5 kila kitu. Airfare peke yake atleast $1000 hakuna basi la Kimbinyiko la kwenda huko.

Ada inaweza zidi 10M kwa mwaka sio miaka minne kama bongo. US/Europe ni zaidi ya hapo kwa semester tu.

Narudia yale yale, kusoma Asia ni kupoteza nguvu na muda. Kusoma Asia hadi umalize afu urudi kugombania mshahara laki4 na watu wa TEKU ni kuchezea rasilimali. Siwezi mshauri mtu yeyote kwenda kusoma huko. Shoot for the stars au baki bongo.
Kwa vyuo vingi vya asia kinacho cost zaidi ni gharama za ndege tu, ada na gharama za maisha vimefanana au vinazidiana kidogo hasa kwa wale wanaoishi hostel.

Ila kwenda kusoma asia labda uwe na connection vinginevyo baki bongo

Wanaosoma Marekani / Ulaya wengi wao wanapambana wabaki huko huko, Kazi zipo nyingi kama una vyeti na umesomea kitu chenye soko
 
Wewe upo nje ya Tanzania muda mrefu huwezi kuelewa hali inavyoendelea

Majuu hali ni tofauti kuna system inayoeleweka
Sijakubali wala kukataa hoja, nimetaka twende kwa data zaidi, sio kubumbabumba kwa hisia tu.
 
Sijakubali wala kukataa hoja, nimetaka twende kwa data zaidi, sio kubumbabumba kwa hisia tu.
Data in which country my friend, Huku sio ulaya kusema kila kitu data zitakuwa published, huwa ni ku observe, kusikiliza testimonies za wahusika, n.k.
 
Data in which country my friend, Huku sio ulaya kusema kila kitu data zitakuwa published, huwa ni ku observe, kusikiliza testimonies za wahusika, n.k.
Sasa utajuaje unachoona wewe ni kweli kiko hivyo au kina observational bias tu ambayo hujaijua?
 
Ninawajua watu kama kadhaa walioenda kusoma nje ya nchi miaka ya 2012 hadi 2015, Wamesumbuka sana kwenye soko la ajira imewabidi tu wakubaliane na matokeo kwa kujiendeleza na shughuli nyinginezo

Kwenye ajira degree huwa ina uzito sana hivyo inabidi uwe makini kwenye uchaguzi wa vyuo, Masters haikubani sana ndio maana watu wengi wanaenda kuzisomea hata kwenye vyuo vya kata vya India ilimradi cheti tu chetu tu, sehemu ulikosoma sio sana tofauti na degree.

Kusomesha au kusoma degree nje ya nchi ni muhimu sana kuchagua chuo chenye jina, yani hata ukirudi bongo ukitaja chuo ulichosoma hakuna haja ya kugoogle, Mifano ni Havard, Oxford, Satanford, MIT, Cambridge, Yale, London , etc, Nje ya hapo kama ni vyuo vingine basi viwe ni vina hadhi ya kitaifa mfano kwa Uganda kuna Makerere university , India kuna IIT, Japan kuna university of Tokyo, n.k.

Waajiri wengi wanapenda kuajiri mtu aliesoma vyuo wanavyovijua, Kwa hapa Tz uwe umesoma ndani ya nchi au umesoma vyuo maarufu duniani, hivi hata wewe una kampuni yako mtu anakuja kukuomba ajira lakini chuo alichosoma hujawahi kukisikia tangu uzaliwe, utapata mashaka, hata ukitaka kumsaidia utahitaji ushahidi wa kutosha, mahojiano ya kina, ufanye research, n.k.

Sasa unakurupuka kwenda kusoma katika vyuo visivyo na majina huko India, Malaysia, Thailand, China, n.k. umeingia kwenye mfumo kwasababu ya kuona ada nafuu au umepata scholarship, jiandae kwa stress ukirudi Bongo. Kwanza, baada ya kuhitimu, unalazimika kwenda TCU (Tume ya Vyuo Vikuu) wathibitisha cheti chako, Ikiwa chuo ulichosoma hakifikii viwango vyao utapigwa block kuomba kazi kwa kutumia hicho cheti, Tangazo la kazi linatoka unaanza mchakato wa kuomba ajira, kuna waajiri / mabosi wakiona hawajikui chuo ulichosoma chap chap wanakata jina lako hawataki kujichosha kuanza kukifanyia research, Ikitokea umeitwa interview unaweza kuambiwa urudi tena TCU upate barua nyingine ya uthibitisho, Hata baada ya kupewa barua bado wanakutilia shaka na utaulizwa maswali mengi. Wakati huo wenzako waliosoma hata vyuo vya kawaida hapa Bongo hawakutani na hizo bugudha.

Sio lazima kusoma nje, Kama chuo unachoenda hakina umaarufu ni bora ubaki Tz unless una connection
Ni upumbavu kuingia gharama za kusoma chuo ili uajiriwe. Mwisho wa kunukuu.
 
Back
Top Bottom