Kwenu mnaotaka kusoma degree nje ya nchi kwa malengo ya kuajiriwa Tanzania, Kama chuo hakina umaarufu ni bora usome hapa hapa, Utateseka !

Ni upumbavu kuingia gharama za kusoma chuo ili uajiriwe. Mwisho wa kunukuu.
Familia nyingi kwa mentality ya Tanzania zinasomesha watoto kwa lengo la ajira

Mtoto akienda kwa mzazi wake amwambie hata akisoma hakuna haja ya kuajiriwa nakuhakikishia mzazi hatoi senti
 
Ww ndo mgumu kuelewa,Sipendi unavotumia Jina kuwa mm mgumu kuelewa tuheshimiane katika hilo....Sema vyuo vya Hovyo usikimbilie kusema chuo flani cha hovyo,wapo wanaofanikiwa huko huko mnaposema pa hovyo ...

Nimekuelewa vema tu...Hapo pa TCU CUT off point ngoja ninyamaze maana unaweza kuwa ubishi wa mwaka mfano kama wachezaji wa Singida Big Stars walipata Uraia Kimadesa desa sembuse TCU(fanya utafiti wako)

La mwisho ukiwa unajibu hoja Jibu kulingana na mada sio mara uhusishe mzazi,mara Mwili nenda kwenye mada
 
Dogo huna akili.Unaonekana unaabudu sana mambo ya bahati🤗🤗🤗.Utakuwa mfuasi wa mwamposa.
 
Ukiwa umeajiriwa sehemu unawaona wasio ajiriwa kama wajinga. Kama elimu yetu ina ubora unaotakiwa kwa vigezo, basi hata maisha yetu yange akisi ubora huo.
 
Kimsingi umekubaliana na mtoa mada. Ulichofanya ni kutoa ufafanuzi tu
 
Usafiri, accomodation, ada nk bado umalize uje kugombaniana mshahara wa laki4 na watu waliosoma Muccobs. Hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali. Huko Asia michosho tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…