Kwenu na kwetu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Kwetu uswahilini, kwenu ushuani.

Kwetu kitambi dili, kila mtu anajua una hela.
Kila msichana atataka kuwa na wewe.
Kwenukitambi kero na udhia, eti mnalipa mahela kibao jim kukiondoa.
Kwetu tunakula kila tukionacho, nyie mnachagua vyakula eti mnamentain figa.
Kwetu msomi kaishiakidato cha sita, kwenu mbumbumbu ndio kahitimu digirii yake ya kwanza.
Tuna tofauti nyingi sana, je haya mapenzi kati yetu yaweza kudumu?
 
as long as mnapendana hizo zingine kelele tu
 
Hivi Mwaka 2011 kila memba amebadili Avatar yake?? Ngoja na mimi nifanye mchakato

Happy New Year Buji...

Ngoja niongoze misa ya asubuhi kwanza, will be back
 
Bujibuji vipi?
Umeanzaje kufuata watoto wa ushuani? We si ndio kila siku huwa unausifia utamu wa kuku wa kienyeji?
Sasa imekuaje umefuata kuku wa kisasa tena aliyekaa muda mrefu kwenye friji?
Nakushauri tu urudi kwenye walewale wa uswahilini kwenu, huko uzunguni utafeli kwa kuwa huna viwango.
 
tanadumu
kwan mkilala na mkeo kitandan pale wewe unakuwa umeshika chet chako cha mastaz na yeye anashika chet cha darasa la 7?asi mnakuwa mikono mitupu NAKED as it is?sa kivp ELIMU IHUSIKE?
yanadumu km mmependana.
 
Bujibuji achana naye huyo atakufanya sex toy tu, hamna mapenzi hapo. anakupenda sababu ya body show lako!
 
yaani huyu binti nampenda ile mbaya.
kiasi kwamba sitaki nimkose hata nukta moja.
kwa mara ya kwanza maishani mwangu jana ndio nimekula chokoleti.
bwana ehh
 
Chokoleti gani mkuu?
Mtundu sana wewe mzee, mara hii umesha mkimbizia mtoto wa watu kitandani?
 
hivi mwaka 2011 kila memba amebadili avatar yake?? Ngoja na mimi nifanye mchakato

happy new year buji...

Ngoja niongoze misa ya asubuhi kwanza, will be back


same to you.
askofu, nakutakia kila la kheri katika mwaka huu.
nakuombea ukawe wa mafanio na neema za kila namna.
 
Kiranja mkuu ana matatizo yake.
Huyo sio wangu, labda kama ni wa kwake.
Wangu yuko moyoni, nausubiri kwa hamu muda muafaka utimie ntawatambulisheni.
Ngoja kwa sasa nizishinde hofu za tofauti zetu.
 
Kitakachoamua hapo ni kitanda tu!
 
Kiranja mkuu ana matatizo yake.
Huyo sio wangu, labda kama ni wa kwake.
Wangu yuko moyoni, nausubiri kwa hamu muda muafaka utimie ntawatambulisheni.
Ngoja kwa sasa nizishinde hofu za tofauti zetu.

Kama ni huyo chakachua mkuu :whoo:
 
huyo wa kwenye picha si mtangazaji wa mataarab.
angalia usije ukapotea, sifa zinavuma mji mzima, nakushauri tu angalia mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…