Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
hh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni kudanganyana.Wanaume wengine wameshaaza kuwalipa wake zao mshahara. Ni suala la muda tu hata wewe utaanza kumlipa mke wako.
sijakuelewa..Ukishakula hela ya usajili inayokung'oa toka Sebuleni kwenu hiyo imeisha.
😆 😆 😆 😆Ukishakula hela ya usajili inayokung'oa toka Sebuleni kwenu hiyo imeisha.
lamba K-VANT ndogo hapo kibanda cha mangi nakuja kulipa!!!Feminist wengi wao ndoa zimewashinda, unakuta amezaa watoto kila mtoto na baba yake katika hao watoto unakuta hata wengine baba zao hawajulikani, mtoto anatumia ubini wa mama yake kwa sababu baba yake hajulikani......hawa wanawake wa aina hii kwanza huwa wanakuwa na chuki na wanaume halafu wanakuwa na wivu na ndoa za wanawake wenzao, kwa hiyo huwa wanafanya kila kitu ili kuwaharibu wenzao na kama haitoshi huenda mbali zaidi kwa kufikia kuwaonea wivu hata watoto wanaozaliwa kwenye ndoa...
HahahahahahaWanaume wengine wameshaaza kuwalipa wake zao mshahara. Ni suala la muda tu hata wewe utaanza kumlipa mke wako.
Hivi hawa wamama wapo? Lile Tamasha lao ?TGNP. Club
Na wanajaza ujinga sanaEndeleeni kudanganyana.
Wa mwezi upiWanaume wengine wameshaaza kuwalipa wake zao mshahara. Ni suala la muda tu hata wewe utaanza kumlipa mke wako.
Wanawake liveHivi hawa wamama wapo? Lile Tamasha lao ?