Kwenu ninyi Feminist uchwara

Kwenu ninyi Feminist uchwara

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
hh
IMG_20230815_113910.jpg
 
Feminist wengi wao ndoa zimewashinda, unakuta amezaa watoto kila mtoto na baba yake katika hao watoto unakuta hata wengine baba zao hawajulikani, mtoto anatumia ubini wa mama yake kwa sababu baba yake hajulikani......hawa wanawake wa aina hii kwanza huwa wanakuwa na chuki na wanaume halafu wanakuwa na wivu na ndoa za wanawake wenzao, kwa hiyo huwa wanafanya kila kitu ili kuwaharibu wenzao na kama haitoshi huenda mbali zaidi kwa kufikia kuwaonea wivu hata watoto wanaozaliwa kwenye ndoa...
 
Wapambane na hali zao,wao kila sentensi anayoongea lazima aanze na 'yani wanaume',hatrage imewajaa wanashindwaga hata kuficha hisia zao...
 
Feminist wengi wao ndoa zimewashinda, unakuta amezaa watoto kila mtoto na baba yake katika hao watoto unakuta hata wengine baba zao hawajulikani, mtoto anatumia ubini wa mama yake kwa sababu baba yake hajulikani......hawa wanawake wa aina hii kwanza huwa wanakuwa na chuki na wanaume halafu wanakuwa na wivu na ndoa za wanawake wenzao, kwa hiyo huwa wanafanya kila kitu ili kuwaharibu wenzao na kama haitoshi huenda mbali zaidi kwa kufikia kuwaonea wivu hata watoto wanaozaliwa kwenye ndoa...
lamba K-VANT ndogo hapo kibanda cha mangi nakuja kulipa!!!
 
Feminist wengi wanatembea na maumivu mioyoni mwao, yaani wanavidonda ndugu visivyopona katika mioyo yao vilivyosababishwa na mahusiano mabovu waliyoyapitia hapo nyuma.....MWANAUME YEYOTE YULE KUWA MAKINI UNAPOKUWA KARIBU NA FEMINIST HAWA NI WATU WENYE ROHO MBAYA NA WALIISHAHARIBIKIWA NA MAISHA MUDA WOWOTE WANAWEZA KUUWA AU KUFANYA KITU KIBAYA.
 
Back
Top Bottom