Kwenu nyie madada

Mkuu shunie nashukuru nimeziona emoj jumbe ilikuwa nibadili tuu kwenye key bord ya cm .
Ndio mana nakupenda kk miaka ya mtu inakuhusu nn kwa mfano na ili ugundue nini
 
Tumekusikia
Tutalifanyia kazi wazo lako
 
Tuambie kwanza umri wako ndio tuendelee na huu mjadala
 
Umri was mtu ni privacy yake


Siyo lazima atangaze hadharani akishamshukuru Mungu inatosha...Siyo lazima atutangazie ss
Kama unataka kwenda pm we nenda itapendeza kama utauliza umri huko pm pia
UMRI inakuwaje privacy!

basi na kufa iwe privacy pia...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…