Kwenu nyie madada

Kabisa tena na ndio maana baada kujuana na watu baadae story hazipandi tena.
Hivi unaonaje JF wakaweka hiki kipengele cha umri hadharani kwenye page za wadada km jinsi walivyoweka majina & lini alijiunga?
 
Umri was mtu ni privacy yake


Siyo lazima atangaze hadharani akishamshukuru Mungu inatosha...Siyo lazima atutangazie ss
Kama unataka kwenda pm we nenda itapendeza kama utauliza umri huko pm pia
Sasa kama ni siri analeta mtandaoni ili iweje?
 
Daaah...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…