Kwenu TARURA; Vijana mliowapa mashine za tozo za parking wanazitumia vibaya

Kwenu TARURA; Vijana mliowapa mashine za tozo za parking wanazitumia vibaya

danhoport

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2020
Posts
1,984
Reaction score
4,502
Habarini ndugu zangu, huu mfumo mpya wa Parking ni mzuri sana ila hawa watu mliowapa hizo mashine wanazitumia vibaya.

Ipo hivi, kuna kijana anaitwa Anthony yupo mtaa wa Swahili(Kariakoo) yeye likija gari haijalishi litakaa mda gani, yeye uscan ya siku nzima na tiketi haweki na wala hamwambii mwenye gari kama kali scan gari, kwa kifupi jamaa wakati wa kuli scan gari anaakikisha dereva hamuoni.
 
... ifike mahali akili itumike badala ya kufanya mambo kienyeji. Kwa mfano, mfumo wao ubadilishwe iwe ni 2-factor authentication; iwe combination ya namba ya gari na driving license. Ni rahisi tu.
 
Habarini ndugu zangu, huu mfumo mpya wa Parking ni mzuri sana ila hawa watu mliowapa hizo mashine wanazitumia vibaya.

Ipo hivi, kuna kijana anaitwa Anthony yupo mtaa wa Swahili(Kariakoo) yeye likija gari haijalishi litakaa mda gani, yeye uscan ya siku nzima na tiketi haweki na wala hamwambii mwenye gari kama kali scan gari, kwa kifupi jamaa wakati wa kuli scan gari anaakikisha dereva hamuoni
Ndo zao hizo. Wanakuvizia na ukiondoka tu wanakuja upesi na kupiga picha na tozo ya siku nzima.
 
... ifike mahali akili itumike badala ya kufanya mambo kienyeji. Kwa mfano, mfumo wao ubadilishwe iwe ni 2-factor authentication; iwe combination ya namba ya gari na driving license. Ni rahisi tu.
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Tarura hawafanyi tena hiyo kazi
Tarura bado wanafanya hii mpaka julai mosi ndivyo nilivyojibiwa. Ni kweli hawa vijana wanafanya kazi kwa kuvizia mno kuna mmoja juzi nilimwamboia wee ilikuwa bado dakika 2 ifike saa 12.00 jioni akadhani sipo ndani ya gari maana nilikuwa ndiyo napaki akakimbia . Kinachokera kuviziana na hakuna risiti yoyote kuonyesha unadaiwa yaani ni wizi wizi flani hivi.
 
Kusema amekuwekea kifurushi cha siku sio kweli maana walishakiondoa ila kiukweli wanakera sana tabia zao za kuvizia vizia pia gharama za parking fees ni kubwa sana ukipiga hesabu Mia tano kwa kila lisaa utakuta parking fees inazidi vibali vyote vya kwenye gari sijui walizingatia nini wakati wanapanga hizo bei
 
Habarini ndugu zangu, huu mfumo mpya wa Parking ni mzuri sana ila hawa watu mliowapa hizo mashine wanazitumia vibaya.

Ipo hivi, kuna kijana anaitwa Anthony yupo mtaa wa Swahili(Kariakoo) yeye likija gari haijalishi litakaa mda gani, yeye uscan ya siku nzima na tiketi haweki na wala hamwambii mwenye gari kama kali scan gari, kwa kifupi jamaa wakati wa kuli scan gari anaakikisha dereva hamuoni.
Waizi tu hao.
 
Kusema amekuwekea kifurushi cha siku sio kweli maana walishakiondoa ila kiukweli wanakera sana tabia zao za kuvizia vizia pia gharama za parking fees ni kubwa sana ukipiga hesabu Mia tano kwa kila lisaa utakuta parking fees inazidi vibali vyote vya kwenye gari sijui walizingatia nini wakati wanapanga hizo bei
Posta unaanza kupigwa parking charges toka saa 12 asubui mpaka 12 jioni. Waizi tu hao.
 
Parking wangeziondoa kwenye hospitali ,inauma sana.unamsubiria dactari au upo upasuaji mdogo unakuta bei kubwa ya Parking. Kwanini wabunge msitusaidie wananchi.
Wabunge wakusaidie tena? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni wezi kweli,tena wasumbufu hasa!! Tena saiz wamezidisha aysee,wanachukua hela ya parking mpaka kwenye vijiwe zinakopaki canter,townace na Kirikuu...wakiona tu kuna kakijiwe wanakuja ku scan!! Daah serikali inafosi sana mapato aysee,sisiem ndio wametufikisha hapa aysee
 
Kuna wengine wapo pale osterbay shopping center wadada wawili sijajua kuwa ni uvivu au vipi muda mwingine hata haupaki ila labda umezinguka tu kumshusha mtu wala haujapark faster wameshascan unajiuliza nimepaki wapi mbona sikuingia sehemu ya parking ila ndio hivyo
 
Back
Top Bottom