danhoport
JF-Expert Member
- May 20, 2020
- 1,984
- 4,502
Habarini ndugu zangu, huu mfumo mpya wa Parking ni mzuri sana ila hawa watu mliowapa hizo mashine wanazitumia vibaya.
Ipo hivi, kuna kijana anaitwa Anthony yupo mtaa wa Swahili(Kariakoo) yeye likija gari haijalishi litakaa mda gani, yeye uscan ya siku nzima na tiketi haweki na wala hamwambii mwenye gari kama kali scan gari, kwa kifupi jamaa wakati wa kuli scan gari anaakikisha dereva hamuoni.
Ipo hivi, kuna kijana anaitwa Anthony yupo mtaa wa Swahili(Kariakoo) yeye likija gari haijalishi litakaa mda gani, yeye uscan ya siku nzima na tiketi haweki na wala hamwambii mwenye gari kama kali scan gari, kwa kifupi jamaa wakati wa kuli scan gari anaakikisha dereva hamuoni.