Kwa manunuzi niliyoyafanya sehemu hizi mbili tofauti ni bila shaka huyu asiyetumia EFD kuna uwezekano akakwepa kodi. Nimefurahi kuona hii risiti moja ya EFD inaonesha amount niliyochangia serikalini.
Hivi TRA wamekupata kweli? Lkn ungekuwa powa zaidi kama usingefuta hizo detail, maana kwa hapo huyo asiyetumia efd, umeendelea kumficha, hawawezi kumfuatilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.