Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
Nikikumbuka 2015 kurudi nyuma kule nilikuwa nikinunua nondo 12mm kwa 20,000/- sasa nakuta ni 27,000/- Bando bati za kawaida zile 250,000/- sasa 380,000/-, misumari imepanda jero kwenye kila kilo, cement imepanda 3500/+ au zaidi kwa mfuko hapo bado makato kwenye miamala ya simu.
Nikifikilia tulipi na tuendako nachoka sana aisee nabado hali inazidi kuchanganya tutafanyaje!...?
Nikifikilia tulipi na tuendako nachoka sana aisee nabado hali inazidi kuchanganya tutafanyaje!...?