Kwenu wadogo zangu wa kiume ambao hamjafika third floor(miaka 30)

Kwenu wadogo zangu wa kiume ambao hamjafika third floor(miaka 30)

Inategemeana na ulienae, inahisi ujifanyie assessment mwenyewe.

Dem mpenda pesa anaonekana tu.
Ama lah usidate na dem aliekuzidi shida.
Kupenda pesa sio tatizo hata wanaume pesa tunaipenda ishu ni kwamba unapata valuable output ipi kwenye mahusiano na uyo mwanamke. If all she provide is sex then that woman is liability in your life.
 
Kwenu wadogo zangu ambao bado mpo 20's kumbukeni ya kwamba huyo demu ulienae ana uwezekano mkubwa sana wa kutoboa kimaisha hata leo hii tofauti na wewe.

Usidanganyike kwamba yupo na wewe kwa sababu anakupenda ukweli ni kwamba yupo na wewe kwa sababu hajapata mwanaume wa fantansies zake.

Nataka kusema nini, katika huo umri wenu wadogo zangu ni wakati muafaka wa kutengeneza njia za maisha yenu, pambania ndoto zako, tafuta kusudi lako la maisha, everyday make sure you do something to get you closer to your dreams or purpose.

Don't waste your time or resources because of women, you owe women nothing, you don't have responsibility to give her life style or luxuries which her father failed to give her. She have father, mother, sisters, brothers, ancles let them do their job.

Najua unapitia kipindi cha kukataliwa lakini hiyo isikupe shida tambua ya kwamba thamani ya mwanaume inaanzia chini na thamani ya mwanamke inaanzia juu. Utakapofika 30's hawa hawa wanawake wanakusumbua thamani zao zitakuwa chini na thamani yako itakuwa juu.

Tambua ya kwamba hao wanawake unaoona sio wa level yako walichokuzidi ni kwamba wao wamewekeza kwenye miili yao yaani nguo, vipodozi n.k ukiondoa hivyo karibu wote hawana kitu, hawana chochote kwenye akaunti za benki, hawana investment yoyote and most of them are empty-head.

Don't lose focus, strive for your dreams, trust the process.

Leo nina mzuka wa kumwaga nondo halafu kiswahili hakipandi kabisa. Sijui ni hizi serengeti lager nilizonazo kichwani au nini.
Huu Uzi nawatumia generation Z wa ukoo wangu wote
 
Kwenu wadogo zangu ambao bado mpo 20's kumbukeni ya kwamba huyo demu ulienae ana uwezekano mkubwa sana wa kutoboa kimaisha hata leo hii tofauti na wewe.

Usidanganyike kwamba yupo na wewe kwa sababu anakupenda ukweli ni kwamba yupo na wewe kwa sababu hajapata mwanaume wa fantansies zake.

Nataka kusema nini, katika huo umri wenu wadogo zangu ni wakati muafaka wa kutengeneza njia za maisha yenu, pambania ndoto zako, tafuta kusudi lako la maisha, everyday make sure you do something to get you closer to your dreams or purpose.

Don't waste your time or resources because of women, you owe women nothing, you don't have responsibility to give her life style or luxuries which her father failed to give her. She have father, mother, sisters, brothers, ancles let them do their job.

Najua unapitia kipindi cha kukataliwa lakini hiyo isikupe shida tambua ya kwamba thamani ya mwanaume inaanzia chini na thamani ya mwanamke inaanzia juu. Utakapofika 30's hawa hawa wanawake wanakusumbua thamani zao zitakuwa chini na thamani yako itakuwa juu.

Tambua ya kwamba hao wanawake unaoona sio wa level yako walichokuzidi ni kwamba wao wamewekeza kwenye miili yao yaani nguo, vipodozi n.k ukiondoa hivyo karibu wote hawana kitu, hawana chochote kwenye akaunti za benki, hawana investment yoyote and most of them are empty-head.

Don't lose focus, strive for your dreams, trust the process.

Leo nina mzuka wa kumwaga nondo halafu kiswahili hakipandi kabisa. Sijui ni hizi serengeti lager nilizonazo kichwani au nini.
taken
 
Kwenu wadogo zangu ambao bado mpo 20's kumbukeni ya kwamba huyo demu ulienae ana uwezekano mkubwa sana wa kutoboa kimaisha hata leo hii tofauti na wewe.

Usidanganyike kwamba yupo na wewe kwa sababu anakupenda ukweli ni kwamba yupo na wewe kwa sababu hajapata mwanaume wa fantansies zake.

Nataka kusema nini, katika huo umri wenu wadogo zangu ni wakati muafaka wa kutengeneza njia za maisha yenu, pambania ndoto zako, tafuta kusudi lako la maisha, everyday make sure you do something to get you closer to your dreams or purpose.

Don't waste your time or resources because of women, you owe women nothing, you don't have responsibility to give her life style or luxuries which her father failed to give her. She have father, mother, sisters, brothers, ancles let them do their job.

Najua unapitia kipindi cha kukataliwa lakini hiyo isikupe shida tambua ya kwamba thamani ya mwanaume inaanzia chini na thamani ya mwanamke inaanzia juu. Utakapofika 30's hawa hawa wanawake wanakusumbua thamani zao zitakuwa chini na thamani yako itakuwa juu.

Tambua ya kwamba hao wanawake unaoona sio wa level yako walichokuzidi ni kwamba wao wamewekeza kwenye miili yao yaani nguo, vipodozi n.k ukiondoa hivyo karibu wote hawana kitu, hawana chochote kwenye akaunti za benki, hawana investment yoyote and most of them are empty-head.

Don't lose focus, strive for your dreams, trust the process.

Leo nina mzuka wa kumwaga nondo halafu kiswahili hakipandi kabisa. Sijui ni hizi serengeti lager nilizonazo kichwani au nini.
Vyema sana
 
Kupenda pesa sio tatizo hata wanaume pesa tunaipenda ishu ni kwamba unapata valuable output ipi kwenye mahusiano na uyo mwanamke. If all she provide is sex then that woman is liability in your life.
Mzee mtu akikwambia dem anapenda pesa we akilini mwako kitu gani inakujia??
Kupenda pesa means mchizi hapa ile value.
 
Kings at your 20s these few things you need to prioritise so that you won't have a time to blame anyone in future.

1).Work on your personality and behaviour patterns as well as your self-esteem to make sure you become a person that can be accepted and respected anywhere you walk in.

2).Do anything possible to realise your inner potential and try to find a way on how you can externilize it conveniently.

3).Set your both long and short terms goals based on your potentiality and strategise how you can attain them.

4).Create your social cycle which consists of meaningful people whom you can benefit from even more than they will be benefitting from you.... don't allow anyone to be parasite to you rather you are the one who should be parasite to them.

5). Remember to persuade your goals every morning you wake up according to your plan and every night you go to your bed make sure you are at least one step closer.

6). As a young energetic man remember that the society doesn't really give shiiiit about you and it is even worse you are viewed as a potential trouble maker, so just stand on your ground and be extremely careful wih any move you make.

7).As long as the modern society doesn't really care about you and men in general, you also shouldn't care about the wellbeing of the whole society, you ought to be extremely selfish with your resources and masculine energy.

8).Do not at anyway allow insignificant individuals to bring distraction and make you to derail from goals persuasion, when i mention distraction precisely i'm talking about women... yes, women are the most distracting factor to men in their missions, all you have to do is to give them little attention incase you can not disengage them in your life.

9). Multiple dating, too much clubbings, extravagant expenditures on trivial things, excessive PS5 games,gossiping are all altogether perfect route to irredeemable poverty.... instead of spending your precious time in PS and gossiping you need to replace it with reading books 📚.

10). As you take care of yourself and work hard, please remember to support your fellow men where it is possible, it is your fellow men who are likely to support you as well when you're down..... and please Please don't ever be a SIMP, simping is one of the biggest sins in the eyes of GOD.
 
Ukweli mchungu sana i had that opportunity and i didn't well utilize now it's costing me in way i can't escape rather than accepting it and alow myself to restart though in a bitter and painful way,and it gonna take angalau mwaka na nusu but for sure i will survive
 
Ukweli mchungu sana i had that opportunity and i didn't well utilize now it's costing me in way i can't escape rather than accepting it and alow myself to restart though in a bitter and painful way,and it gonna take angalau mwaka na nusu but for sure i will survive
Bado haujachelewa
 
Back
Top Bottom