Kwenu waislam wenye majina ya kiarabu, Haya ndiyo majina yenu original yenye asili ya kiyahudi

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Majina haya ya kiarabu asili yake original ni ya wayahudi yenye lugha ya kihebrania,

Kama una majina haya basi tambua kwamba asili ya jina lako ni kwa wayahudi

Shlomoh - Suleyman (Sulemani)
Mosheh - Musa
Amram - Imran
Chanokh - Idris
Dawid - Dawud
Yishmaʿel - Yahya (Yahaya)
HaSatan - Shaytan (Shetani)
Mariam - Maryam
Yosef - Yusuf
Iyyov - Ayyub (Ayubu)
Yeshua - Isa (Yesu)
Yakov - Yaqub
Yishmael - Ismail
Avraham - Ibrahim
Aaron - Harun (Haruna)
Hashemite - Hashim

ABDUL - Ni jina la kiarabu linalomaanisha "mtumwa wa", Ikiwa mtu ataitwa Abdul kisha jina lenye maana au uhusiano wa kitakatifu mfano Abdullah. Tatizo ni kwamba kuna wanaopewa majina ya kuwa watumwa wa watu wengine mfano Abdul Hussein, Abdul Simon, Abdul Mssanja, n.k. (Labda kuwe ufafanuzi wa ziada)
 
Kwanza weka sawa uelewa wako, hakuna lugha ya Kiyahuudi.

Kuna Kihebrania (Hebrew), Kiaramu (Aramaic) na Kiarabu (Arabic) ndizo lugha zilizoongewa na wayahudi.
 
Majina hayana dini.
 
Mkuu John eti ndo Yahya mudi is faking boring and annoying
 
Kondoo anaitwaje kihebrania
Ntafatilia nikupe jibu, ila nahisi anaitwa falisha halafu waarabu wakamwita Faiza, 😁
Kwa kukujuza tu:
Kibsh= Kiarabu cha mitaani.

khib'shaa = Kihebrania.
. Hwponunaweza. Kuoata jibu la post yako namba. Moja.
. Yesu aliitwaje Kikwao (Aramaic)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…