Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Kwa maoni yangu inategemea nyinyi wenyewe. Biashara ya Porno ni ya mabilioni ya dollar inashinda hata ile ya movies za Hollywood kwa kuingiza pesa nyingi na sidhani wanaongalia porno ni single people pekee. Wako wengine wanaangalia kila kitu kinachofanywa kwenye hizo movies na wengine wana comfort zone na mambo mengine ambayo hawayapendi wanakaa nayo mbali kabisa. Hivyo kwa ndoa moja porno inawezekana kuwa ni part and parcel katika ndoa hiyo kwa kuwa wahusika wote hawaoni ubaya wa kuziangalia na kwa ndoa nyingine labda inaweza kuwa ni sumu kwa kuwa mmoja wa wahusika katika ndoa hiyo anaweza kuwa hakubaliani kabisa kuangalia porno kwa wote au mwenzake.
Mi nilishasimulia hapa jamvini kuhusu ugomvi wa mke na mume waliopelekana kwa Paroko, ambapo mke alikuwa anadai kuwa mumewe ni mchovu sana, na kwamba anahisi ana mahusiano huko nje,! Baba Paroko baada ya ushauri mwingi kwa couple hii aliwaambia kuwa si mbaya kama siku nyingine wataweka picha hizo chumbani kwao ili iwarejeshee hamu ya tendo!
hizi picha zinasaidia sana!lakini ni vyema watu wakawa makini na wakawa selective!kweye bizo picha wale actors wana tendency ya ''kuji-express''.sasa hili ni kinyume kabisa na maagizo ya mwenyezi mungu.muwe makini mnaotumia hichi kilevi,kinyume na hilo mtakuja kuwaingilia wake zenu kinyume
Shemeji, kama wanapenda kujiexpress kuna ubaya gani? Manake kama wanapenda afu we hutaki, wapwa zangu watakusaidia.
hizi picha zinasaidia sana!lakini ni vyema watu wakawa makini na wakawa selective!kweye bizo picha wale actors wana tendency ya ''kuji-express''.sasa hili ni kinyume kabisa na maagizo ya mwenyezi mungu.muwe makini mnaotumia hichi kilevi,kinyume na hilo mtakuja kuwaingilia wake zenu kinyume
sasa shem,ina maana na wewe unapenda kujiexpresi?
Hahaha! Kuna siku nilimwomba binti mmoja tujaribu akachomoa. Na tangu siku hiyo sijamwona tena! Ile kitu inahitaji ujasiri na ubabe wa hali ya Juu.
Hahaha! Kuna siku nilimwomba binti mmoja tujaribu akachomoa. Na tangu siku hiyo sijamwona tena! Ile kitu inahitaji ujasiri na ubabe wa hali ya Juu.
hiyo kitu bwana achana nayo!katika sehemu mbaya kabisa ambazo aikuwahi kufurahishwa nalo katika hizo ''bia'' ni hiyo ya kumuingilia mwanamke kinyume,lol! shemeji acha kabisa.
na kilichosababisha nizifanyie hizo picha SEND-OFF ni pale nilipoona za wanaume kwa wanaume wanapandana
Bora alikukatalia mwanaume mbaya weye! Ungejaribu kwa mkeo uone kasheshe lake.
Ukitaka kujua hasira za kale ka mama watoto kangu kagusie hilo jambo. Lol! Hicho kitumbua tu napewa kwa masharti na kwa ratiba maalum, sembuse hicho kitundu kichafu?