Waambie hakuna tatizo hata moja linalotatuliwa kwa maombi.Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana
Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana
Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
aah wapi, hao ni wanaume wa mkoani waliokuja Dar hivi karibuni wakifikiri mambo ni kitongaMara nyingi hawa ni wanaue wa Dar tu...wale si wanaume halisi, ni magarasa tu.
Katika kila jambo ulifanyalo lazima umtangulize Mungu kwanza hivyo kuomba niwajib.Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana
Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI