Kwenu wanaume, matatizo mengine hayahitaji maombi

Kwenu wanaume, matatizo mengine hayahitaji maombi

Kiburi cha pesa na mali huwafanya binadamu kumkufuru Mungu. Hicho ndicho kinachokukumba mtoa mada.

Maombi yana nafasi yake na pesa zina nafasi yake.

Mtu mpumbavu hutia pesa zake kwenye mifuko iliyotoboka.
 
Kumbe unazungumzia watoto wa kiume.

Andika uzi mwingine wa wanaume tuuchangie vizuri.
 
Ata yeye alikataza "msitaje bure jina langu Mara nyingi"
Post ya kipuuz na wote mnaendeleza upuuz, jipen jina nyie wenyew_____
 
Kama umesha fanya utafiti wakutosha kuhusu mambo hayo, utajua ukweli kuhusu jambo hilo kuwa wanaokwenda kwenye maombi wengi wanawake na sio wanaume, fanya utafiti utajua ukweli
SI MAKANISANI SI MISIKITINI SI BRAC SI FINCA KOTE WAO WAMEJAZANA
 
Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana


Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
Hahahah kwani Wanaojazanaga Makanisani si Nyie wanawake. Mara nataka bwana mwenye Pesa...
 
Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana


Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
Kumuomba Mungu pindi unapokuwa na changamoto ama swala linalo hitaji pesa ili kulitatua swala hilo ina maana kwamba; Mungu akufanyie uwepesi na akufunulie njia iliyo rahisi na halali kwa majibu sheria na taratibu za nchi ili uweze pata hiyo pesa na kutatua tatizo lako.

Naamini mtu huyo mwenye changamoto zinazo hitaji pesa kuzitatua, hatomuomba Mungu na kuendelea kulala ama kujifungia chumbani akitegemea Mungu atashusha fedha/pesa ndani mwake bali kwa ku-mingle (socialise) na jamii inayo mzunguka baada ya kumwambia Mungu changamoto na hitaji lake then mambo yanakuwa sawa kwa uweza wa almighty God.
 
Nakuonya mara ya mwisho usimlinganize Mungu na makaratasi
 
Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana


Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
Cha ajabu kwenye maombi na kutolewa mapepo wamejaa wanawake.
 
dada naona bwana ako kakutenda vibaya sana matokeo yake thread zako zote zakukandia wanaume

kama hayupo jf unajisumbua kwann usimtext tu
 
Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana


Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
Kwanini wanaume tu? wewe huhitaji pesa? au wanaume ndo "chuma ulete" wako? Na wewe pambana
 
Back
Top Bottom