Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SI MAKANISANI SI MISIKITINI SI BRAC SI FINCA KOTE WAO WAMEJAZANAKama umesha fanya utafiti wakutosha kuhusu mambo hayo, utajua ukweli kuhusu jambo hilo kuwa wanaokwenda kwenye maombi wengi wanawake na sio wanaume, fanya utafiti utajua ukweli
Hahahah kwani Wanaojazanaga Makanisani si Nyie wanawake. Mara nataka bwana mwenye Pesa...Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana
Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
Wao ni mwendo wa mizinga tu[emoji3]Naona umetuma ujumbe kwa wanaume tu! vipi kuhusu wanawake wao matatizo yao hayahitaji pesa?
Mkuu natamani kujua ni wapi Mungu alisema haya maneno au umeya-quote kutoka wapi?Mwenyewe alisema jisaidie na mimi nitakusaidia
Kumuomba Mungu pindi unapokuwa na changamoto ama swala linalo hitaji pesa ili kulitatua swala hilo ina maana kwamba; Mungu akufanyie uwepesi na akufunulie njia iliyo rahisi na halali kwa majibu sheria na taratibu za nchi ili uweze pata hiyo pesa na kutatua tatizo lako.Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana
Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
Cha ajabu kwenye maombi na kutolewa mapepo wamejaa wanawake.Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana
Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI
nauomba huo mstari kwenye Biblia sasa hivi.Mwenyewe alisema jisaidie na mimi nitakusaidia
Kwanini wanaume tu? wewe huhitaji pesa? au wanaume ndo "chuma ulete" wako? Na wewe pambanaMwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana
Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI