Kwenu wanaume, ukiomba namba ya simu usipopewa elewa

Namba zenyewe hata mkitoa mnaishia kuomba omba hela shenz kabisa
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ bila ya shaka utakuwa bomba sana wewe ndiyo sababu ME wanakuwa vingโ€™angโ€™anizi wapate digits zako.
 

Acha kunyima watu hiyo nyapu,toa numb watu waisasambue aalaf em nitumie pic yako ni idambue km unafaa na mm kukuomba numb au nikikuona nikupoteze
 
Kuna demu mmoja niliombaga namba hadi alinitukana,lakni sikukata tamaa nikaendelea kujaribu siku aliyonipa namba huwezi amini nilimtafuna siku ile ile,nikawa namuuliza why alikuwa ananinyima namba akasema "wanawake tukiwa kwenye penzi jipya huwa tunaweweseka"nikamuuliza kwahyo vp mmeachana au vp akasema hawezi show mbwa yule japo nampenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I guess na ww upo kwenye penzi jipya ndomana unaweweseka [emoji1787][emoji1787]
 
Muhimu usimtukane muomba namba hii dunia ni ya ajabu sana unaweza kwenda mbele kidogo vibaka wakakupora ukasaidiwa na huyo muomba namba.

Be humble tu.
 
Hapana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ