Kwenu wanaume

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu breakfast majimbi ya kuchemsha na maziwa ya mgando hiyo shughuli yake
Ila wengine ni ulafi na uroho tu. Kuna siku nilienda mahali kulikua na ndugu yao katoka mkoani. Sababu tulikua tunapiga story akaambiwa atangulie mezani.

Tumekuja kwenda mezani hotpot nyeupeeeeeee. Tulichoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila wengine ni ulafi na uroho tu. Kuna siku nilienda mahali kulikua na ndugu yao katoka mkoani. Sababu tulikua tunapiga story akaambiwa atangulie mezani.

Tumekuja kwenda mezani hotpot nyeupeeeeeee. Tulichoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha kikapikwa kingine ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…