Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
- Thread starter
- #41
WatasikiaWanaume wa mikoani popote mlipo heshima yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WatasikiaWanaume wa mikoani popote mlipo heshima yenu
Haha kwa hiyo pweza ni tegemeo pekee?Unaifahamu nguvu ya pweza wewe!
Hao wababa wengine ni wamesingiziwaWapi kuna kesi za watoto wasio na baba???? Au hao watoto mama wa dsm wanazaa bikiramaria????
Hakuna njaa,ila kula ndo tatizoUshasikia Dar kuna njaa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndiyomaana wanaume wa mikoani wakifika Dar wanasababisha vyoo vi block. Akikaa hotelini mwenye hoteli kesho yake anaita vijana wa kuzibua vyoo.
Usipime wawe ni shemeji zako wawili wamekutembelea. Mkate mmoja na mayai sita wanaonja breakfast wakisubiri chapati na mchemsho.
Hahaa lakini tabia zake za mkoaniHahahha utalipata wapi sasa na wakati we mwanaume wa dar
Wanasingiziwa etiSasa ile foleni kwa Makonda mbona ilikua kubwa kama ni kweli wanaume wa dar hawana hizo "nguvu za kiume"!nawaza tuu lakini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya kufa uache kuuliza maswali ya kitoto.
[emoji23] [emoji23] unatafuta ugomviWanaume wa darView attachment 745417
Hongereni sanaBila kusahau sis wa kanda ya ziwa, asubuhi huwa tunapata supu ya SATO
Ila wengine ni ulafi na uroho tu. Kuna siku nilienda mahali kulikua na ndugu yao katoka mkoani. Sababu tulikua tunapiga story akaambiwa atangulie mezani.Mkuu breakfast majimbi ya kuchemsha na maziwa ya mgando hiyo shughuli yake
Mara nyingi picha huwa zinajieleza na haihitaji nguvu sana kuelezeaSasa ile foleni kwa Makonda mbona ilikua kubwa kama ni kweli wanaume wa dar hawana hizo "nguvu za kiume"!nawaza tuu lakini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wakija watatu choo kinajaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu breakfast majimbi ya kuchemsha na maziwa ya mgando hiyo shughuli yake
Sure hizo dharau Sasa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao hawakosi maziwa mgando na magimbiKuna wapogoro wao wanapenda zaid wali. Na wanalima mpunga hatari.
KhaaaaWanaume wa darView attachment 745417
Kwahiyo hizo mimba zimetoka mikoaniHao wababa wengine ni wamesingiziwa
Dada amenichekesha nimecheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha kikapikwa kingine ama?Ila wengine ni ulafi na uroho tu. Kuna siku nilienda mahali kulikua na ndugu yao katoka mkoani. Sababu tulikua tunapiga story akaambiwa atangulie mezani.
Tumekuja kwenda mezani hotpot nyeupeeeeeee. Tulichoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]