Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
- Thread starter
-
- #61
Hiki ndo habari ya mjiniHii kitu wanaume wa dar mbona tumeshaichoka njooni na kitu kipya basi.
[emoji23] [emoji23]Mara nyingi picha huwa zinajieleza na haihitaji nguvu sana kuelezea
Tena hawafikirii wengine mnakaanga mayai sita wote mgawane, umejitahidi kwenye frying pan yawe round ili kila mtu achukue sehemu yake unakuta mheshimiwa ameyafyeka yote.Ila wengine ni ulafi na uroho tu. Kuna siku nilienda mahali kulikua na ndugu yao katoka mkoani. Sababu tulikua tunapiga story akaambiwa atangulie mezani.
Tumekuja kwenda mezani hotpot nyeupeeeeeee. Tulichoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sure hizo dharau Sasa!
Tukiwapa mimba hawakawihi kulia Lia!
Yani wanawake bhna
Ukute sasa maji ni ya kununua kwa madum[emoji23] [emoji23] [emoji23] wakija watatu choo kinajaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkome kuwasema wanaume wa Dar vibaya[emoji23] [emoji23]
Hahahahaa vya kugawana ni mazoea,huku mkoani kila mtu anakula yake bila kumegana meganaTena hawafikirii wengine mnakaanga mayai sita wote mgawane, umejitahidi kwenye frying pan yawe round ili kila mtu achukue sehemu yake unakuta mheshimiwa ameyafyeka yote.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unashangaaaaKhaaaa
Eeeh hakukua na namna zaid ya kuingia jikoni tena. Yan kuharibiana budget tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha kikapikwa kingine ama?
Isingekuwa baridi ningekushambulia ipasavyo....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unashangaaaa
Nipo tayar kwa vitaaaa[emoji23] [emoji23] unatafuta ugomvi
Nipo tayar kwa vita[emoji23] [emoji23] unatafuta ugomvi
InasemekanaKwahiyo hizo mimba zimetoka mikoani
Tena Jolie usiseme[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ajabu. Manamba wa mikoani Ng'ombe wanafuga wao. Mbuzi wanafuga wao. Viazi wanalima wao. Miwa wanalima wao. Sisi kula supu huku DSM wanatusakama. Chips wanatusakama. Tunakunywa Juice za miwa, wanatusakama. Poor BushmenNdiyomaana wanaume wa mikoani wakifika Dar wanasababisha vyoo vi block. Akikaa hotelini mwenye hoteli kesho yake anaita vijana wa kuzibua vyoo.
Usipime wawe ni shemeji zako wawili wamekutembelea. Mkate mmoja na mayai sita wanaonja breakfast wakisubiri chapati na mchemsho.
[emoji23] mpaka sinki linajaaUkute sasa maji ni ya kununua kwa madum
[emoji23] [emoji23] ndivyo inavyosemekana lakiniMkome kuwasema wanaume wa Dar vibaya
Ngumi au maneno ?Isingekuwa baridi ningekushambulia ipasavyo....
[emoji2] [emoji2]
Ni tatizo lake manamba[emoji23]Rekebisha pale juu. Sema ratiba ya KULA.
Kuna MANAMBA katoka Mkoani, kaja Jijini kuuza chips, na Yeye anawalaumu wanaume wa DSM kula chips. Poor him.