ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Habari zenyu wapendwa,
Nina kiushauri kidogo kwenu wanaume au wababa. Ukiwa au ambao mko na familia zenu tayari, yaani una mtoto au watoto usiwe baba ambaye ukifika tu nyumbani kila mtu anaingia chumbani.
Muwe na weekend njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina kiushauri kidogo kwenu wanaume au wababa. Ukiwa au ambao mko na familia zenu tayari, yaani una mtoto au watoto usiwe baba ambaye ukifika tu nyumbani kila mtu anaingia chumbani.
Muwe na weekend njema.
Sent using Jamii Forums mobile app