fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
You will be a dunce fatherwatoto wangu watapata raha sana tutabet wote, ubishani wa mpira kwenda mbele, nikiwaona nawapa 5 ila heshima kama baba waizingatie
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You will be a dunce fatherwatoto wangu watapata raha sana tutabet wote, ubishani wa mpira kwenda mbele, nikiwaona nawapa 5 ila heshima kama baba waizingatie
Baba ukiondoka ,basi kuanzia Mama mpaka watoto wanafurahia.Habari zenyu wapendwa,
Nina kiushauri kidogo kwenu wanaume au wababa. Ukiwa au ambao mko na familia zenu tayari, yaani una mtoto au watoto usiwe baba ambaye ukifika tu nyumbani kila mtu anaingia chumbani.
Muwe na weekend njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
NaamHabari zenyu wapendwa,
Nina kiushauri kidogo kwenu wanaume au wababa. Ukiwa au ambao mko na familia zenu tayari, yaani una mtoto au watoto usiwe baba ambaye ukifika tu nyumbani kila mtu anaingia chumbani.
Muwe na weekend njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweliBaba ukiondoka ,basi kuanzia Mama mpaka watoto wanafurahia.
Ukirudi basi wote wanashinda vyumban.
Hii ni mbaya sana .
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenyu wapendwa,
Nina kiushauri kidogo kwenu wanaume au wababa. Ukiwa au ambao mko na familia zenu tayari, yaani una mtoto au watoto usiwe baba ambaye ukifika tu nyumbani kila mtu anaingia chumbani.
Muwe na weekend njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Same here bro, back In 2004!tuli kuwa na redio zile 3.mzee alikuwa hivyo
lirefu kinoma akipita mlangoni hivi anainama, sauti inajaa nyumba nzima
sema ndo hivyo, angalau tutamkumbuka kwa hilo. kila mtu na utofauti wake