Kwenu wanaume...

watoto wangu watapata raha sana tutabet wote, ubishani wa mpira kwenda mbele, nikiwaona nawapa 5 ila heshima kama baba waizingatie
 
Siku hizi sidhani kama kuna baba wa namna hiyo
 
Tunaomba ufafanue zaidi, kunatatizo gani nikiingia chumbani?
 
Yani tukipata washauri wa dizaini hiii wa sentensi Mbili tu akiamini wanaume wote wamemuelewa Kazi ipo..

(Sema nimekuelewa)...Mi nikirudi nyumbani watoto wote hawakimbii chumbani wanakimbia ZAO nje kucheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…