Kwenu wanawake mnaojifanya ma-FBI

Kwenu wanawake mnaojifanya ma-FBI

Ngoja nikufunze jambo moja ambalo huwa hamzingatii wanawake..
Kumzuia mke kushika sim sio kwasababu ya umalaya tu kuna mambo mengi ambayo yanawachanganya sana kwasababu mda mwingi mnatumia hisia zaidi kuliko akili unaweza kutana na jambo ambalo halihusiani na uzinzi ukaliwaza tofauti kabisa nakumbuka nishawah kua na mwanamke kabla ya uyu mke wangu wa sasa alimtukana bimkubwa kwakukosa subira kwasababu bi mkubwa alinitafuta kwa namba ngeni

Ipo ivi usijiaminishe sana kua mumeo kua anajielewa huyo kakuzid akili na tactics za kivita yani hata me mke wangu anajisifia kwa ilo kua najielewa lakini kiukweli nature inanitafuna [emoji16] yani michepuko ipo na inaelewa terms zote na niniuwezo wakuacha simu hata siku mbili kwa mke wangu usisikie lolote kwa kifupi hakuna mwanaume anaeweza kuridhika na mwanamke mmoja duniani hapa hata kama hana nguvu za kiume..

Nyie mpo chini yetu acheni tuwale kwa wingi kwasababu tumeumbiwa nyie kwa wingi[emoji16] na mwanaume ndo aliyesujudiwa na viumbe wote uko mbinguni kipindi icho mwanamke hayupo kwenye ramani na aligoma kumsujudia mwanaume ndo uyo shetani kwaiyo sisi tunahaki yakufanya lolote kwenye hii dunia tushaambiwa tuje kutawala

Achana na sim ya mumeo utaharibu familia [emoji1666]
Too bad, nimeishia hapo mstari wa pili, nikalose interest ya kuendelea. Thanks anyway
 
Mi simu ya mzee baba naiona kama kituo cha polisi...

Sitaki presha mimi...
Yap..kwa tabia hiyo ndoa yako unaitazama kama bahari,yaani unaona mwanzo tuu mwisho wake hauuoni... Utafika mbali..[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake

Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee

Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.

Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
Sawa kachero muandamizi wa fbi kitengo Cha ndoa...
 
Nilipokuwa 20 to 21 ndio niliona bora nisishike simu ya mzee ila mzee anashika simu yangu wewe eti sikuamini wah huyu naye ..

Sioni sababu ila nawapa elimu hii wanandoa sana sana wanaume .
1. Sio sifa kuwa na michepuko ni mbaya inaleta mikosi ndani ya familia .
2. Usiwe na dharau kwa mwanamke aliyejitoa kwako inamaanisha yule aliyekuona unamfaa katika maisha yake .
Ambaye anakuheshimu, kukujali nakukuvumilia madhaifu yako kukusitiri.
3. Usidhubutu kumwoneshea mkeo kuwa wewe unawanawake njee na yeye ndiye anajikomba wakati kaenda leba kwa ajili ya mbegu yako ili uitwe baba.
4. Heshimu ndoa , muheshimu yeye napenda san kuheshimu familia yako.
5. Daima kumbuka anayekupenda ni mmoja na wawili nanihawa mama na mkeo tu . Ndio wanawake wawili ulionao katika maisha haya jaribu kumuheshimu.
6. Isipite hata siku moja kumtukana mkeo kumtukana umuite maneno ya kipuuzi nahuku ndio analinda familia yako.
Anaihudumia je akikuulia watoto wako , mama yako na ndugu waliokuja kukusalimu kwa sumu utafanya nini??
7. Isipite siku hujawahi mwambia maneno mazuri .
8. Umalaya sio dili tulia tunza familia maisha yenyewe ndoo haya sina jingine usiku mwema
Sawa..[emoji18]
 
Mama kasema...
Tukaguliwe tu ili tukae kwenye mstari. Mbona na sisi huwa tunazikagua simu za wake zetu kwa kushitukiza?
Ndoa ni kulindana na kutunzana,kinyume na hapo hakuna furaha hakuna ndoa...
Mwanaume unajisifia kukagua simu ya mke wako?
Utakuwa hauko sawa mkuu.
 
Mwanaume unajisifia kukagua simu ya mke wako?
Utakuwa hauko sawa mkuu.
Hakuna nilipo jisifia,soma na uelewe. Kama upo kwenye jamii ya walio kwenye ndoa basi utakuwa umezisikia kesi za mume kafuma sms tata kwenye simu ya mke/mpenzi wake.... Nimewakilisha tu
 
Habari kwenu!

Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwake na familia yake.

Hii tabia ya kufanywa mke unaacha majukumu yako ya uku unajipa kazi ya u FBI kuanza kumchunguza utafikiri anauza madawa ya kulevya kuna siku utapigwa na kitu na hauta jua ufanye nini.

Fanya hivyo endapo unamtafutia sababu ya kuachana ila kama unatafuta sababu ya kujenga ndoa yako jiweke mbali na vitu ambavyo hajataka uvione ikiwemo simu.

Nakuambia siku utakayo kuta meseji au picha kwenye simu ya mumeo itakayo kuumiza kaa ukijua hauta pona kamwe ndio utakua mwanzo wa maumivu yako na kuharibikiwa kwako na familia yako. Trust me hauta pona kamwe.

Simu ya mumeo achana nayo fanya yako hayo hayakuhusu yatakuumiza maisha yako na utaumia haswa na hauta jua ufanye nini?

Kuna wimbi kubwa la wanawake wamejikuta wanaishia kwenye umalaya kisa tu walisoma meseji na kuwa disappointed kwa walio yakuta na kuishia kuharibu familia zao.

NB: Kama mmeo anajari familia na wewe mwenyewe inatosha Sana wewe kuwa na furaha na kuimarisha familia yako.

Jifanye mbishi Ila trust me utaumia,utalia na hauta pona kamwe.
Umeeleweka sana mkuu
 
Habari kwenu!

Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwake na familia yake.

Hii tabia ya kufanywa mke unaacha majukumu yako ya uku unajipa kazi ya u FBI kuanza kumchunguza utafikiri anauza madawa ya kulevya kuna siku utapigwa na kitu na hauta jua ufanye nini.

Fanya hivyo endapo unamtafutia sababu ya kuachana ila kama unatafuta sababu ya kujenga ndoa yako jiweke mbali na vitu ambavyo hajataka uvione ikiwemo simu.

Nakuambia siku utakayo kuta meseji au picha kwenye simu ya mumeo itakayo kuumiza kaa ukijua hauta pona kamwe ndio utakua mwanzo wa maumivu yako na kuharibikiwa kwako na familia yako. Trust me hauta pona kamwe.

Simu ya mumeo achana nayo fanya yako hayo hayakuhusu yatakuumiza maisha yako na utaumia haswa na hauta jua ufanye nini?

Kuna wimbi kubwa la wanawake wamejikuta wanaishia kwenye umalaya kisa tu walisoma meseji na kuwa disappointed kwa walio yakuta na kuishia kuharibu familia zao.

NB: Kama mmeo anajari familia na wewe mwenyewe inatosha Sana wewe kuwa na furaha na kuimarisha familia yako.

Jifanye mbishi Ila trust me utaumia,utalia na hauta pona kamwe.
Hapa kwenye kujali familia mnamaanishaga huduma ya chakula, malazi na mavazi mengine wanaume wakufanya mnaoba hayana shida saana. Kujali familia ni pamoja na kuiweka ktk hali ya usalama sababu mwanamke anaweza asikuchunguze lakin hao watu wa nje (michepuko) ikawaachanisha.
 
Habari kwenu!

Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwake na familia yake.

Hii tabia ya kufanywa mke unaacha majukumu yako ya uku unajipa kazi ya u FBI kuanza kumchunguza utafikiri anauza madawa ya kulevya kuna siku utapigwa na kitu na hauta jua ufanye nini.

Fanya hivyo endapo unamtafutia sababu ya kuachana ila kama unatafuta sababu ya kujenga ndoa yako jiweke mbali na vitu ambavyo hajataka uvione ikiwemo simu.

Nakuambia siku utakayo kuta meseji au picha kwenye simu ya mumeo itakayo kuumiza kaa ukijua hauta pona kamwe ndio utakua mwanzo wa maumivu yako na kuharibikiwa kwako na familia yako. Trust me hauta pona kamwe.

Simu ya mumeo achana nayo fanya yako hayo hayakuhusu yatakuumiza maisha yako na utaumia haswa na hauta jua ufanye nini?

Kuna wimbi kubwa la wanawake wamejikuta wanaishia kwenye umalaya kisa tu walisoma meseji na kuwa disappointed kwa walio yakuta na kuishia kuharibu familia zao.

NB: Kama mmeo anajari familia na wewe mwenyewe inatosha Sana wewe kuwa na furaha na kuimarisha familia yako.

Jifanye mbishi Ila trust me utaumia,utalia na hauta pona kamwe.
Pole yao
 
Mimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake

Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee

Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.

Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
Kwa hiyo unaimarisha usalama wa anga kwa kufanya interception ya pressure
 
Back
Top Bottom