Computer engineering analamba karibu kila kazi ya IT, Computer science, ict, n.k. hap computer science na IT kuna kazi kama za kufunga mitambo ya simu upande wa hardware hawatii mguu hapoUmejuaje mkuu
Because ninajua mkuu.swali ni kwamba umejuaje mkuu😅
Computer science ndio yenye ajira nyingi na ndio nzuri zaidiBecause ninajua mkuu.
Computer engineering = Hardware & Electronics + Software + Math
Computer science = software + math
IT = kujua tu namna ya kutumia computer ili kusaidia makampuni mambo kama maintanance, kuwachagulia software nzuri, kupiga window, n.k.
Kwa hio hapo King ni computer engineering, Queen ni Computer science, mtoto ni IT
Sio bee keeping ni book keeping.Watoto wasome wanachopenda na wawe na skills. Kozi zote ni sawa iwe HR, ACCOUNT, ENGINEERING, SCIENCE, IWE BEE KEEPING, IWE KILIMO, IWE SHERIA. Kozi zote ni sawa. Kuhusu board, board ni kichaka cha kupiga pesa zetu tu. Watu wanaajiriwa bila hata kupitia board.
Bachelor of Science in BEE KEEPING. BSc in Beekeeping Science and Technology is Undergraduate Programme which is pursued within the duration of 3 Years. This program is initially provided at College Of Agricultural Sciences And Food Technology found at University of Dar Es Salaam.Sio bee keeping ni book keeping.
Tunachoangalia ni Probability yani makadirio ya uwezekano kama yanaridhisha.
Hata mtoto wako akisema anaacha shule awe kama Diamond platnumz ni kwamba haelewi chochote kuhusu probability, kaa nae chini kwanza mwambie Diamond ni msanii moja tu, wasanii wengine hali zao vipi ?
Na ndivyo ilivyo hata kwenye hizi kozi, kuna kozi zingine zina probability angalau yenye nafuu kupata ajira ama kujiajiri lakini kozi zingine zina probability ndogo
Hebu kwanza niambie ni lini mara ya mwisho serikali imetoa hizo ajira za ufugaji wa nyuki ?Bachelor of Science in BEE KEEPING. BSc in Beekeeping Science and Technology is Undergraduate Programme which is pursued within the duration of 3 Years. This program is initially provided at College Of Agricultural Sciences And Food Technology found at University of Dar Es Salaam.
Peleka chuo, hizo five&six ziliwekwa kuwapotezea watoto muda wakakue huko wachanganyikane na raia wa jamii tofauti kuondoa ukabila pia kuwafanya wapate wachumba huko, tofauti na hili level ya Advanced schools haina faida yoyote zaid ya kupoteza muda..peleka chuokwamfano mtoto akienda chuo mojakwamoja akitokea kidato channe bila kwenda five vipi anaweza kuajiriwa naatakuwa ameiva viziri mana anaenda kusomea udaktari.
Naona hujasoma post umekurupuka ku comment baada ya kusoma kichwa tu.Waambieni ukweli kazi hakuna serikalini wala sekta binafsi
Ewe mzazi kama hukujipanga kimaisha na huna cha kuwarithisha wanao na hawana muelekeo mzuri wa maisha imekula kwako na kwa wanao.
Sisitizeni wazazi waandae urithi mzuri kwa vizazi vyao, urithi mzuri ni mali na sio elimu, elimu ni wajibu wa mzazi kutimiza kwa watoto lkn urithi wa kweli ni mali na sio porojo.
Waandaeni watoto wenu kiakili na kisaikolojia, mtoto wako anapofel shule usimlazimishe, muulize anataka jambo gan nje ya shule ndilo umuhangaikie, huo udactar sijui madudu gan kama mtoto wa kayumba huna connection basi sahau labda uweke mategemeo kwenye ndumba uchawi na bahat nasibu za waganga wakina mwamposa na wale walozi wapiga ramli chonganishi na matunguri.
Narudia tena, ewe mzazi na unaetegemea kuja kuwa mzazi, urithi wa kweli kwa mtoto/watoto ni MALI na sio porojo za shule na upumbavu mwingine, maendeleo yako wewe mzaz ndiyo yatakayo amua dira ya kizazi chako na watoto wako na familia zao na koo zao hapo mbeleni, elimu is nothing bila ya maendeleo yako mzazi, elimu haina maana kama huna dira ya urithi kwa wanao.
Tafuten pesa, tajiri na mtu mwenye maendeleo hana hizi mindset za kuwafanyia bahati nasibu watoto wake kuwabahatishia ama kuwabetisha ktk suala la elimu ili wapate ajira.
Mwanao akijua kusoma na kuandika achisha shule pekela short-coz za lugha za kichina, kihindi, kifaransa, kirusi na lugha zinazomatter ktk soko la kibiashara, achana na mambo ya shule, huko mnapoteza muda, kidooogo kama mtoto anapenda shule peleka akasomee Computer maana huku ndiko dunia iendako, tofaut na hapo usipoteze pesa zako na muda wako kumsomesha hizo takataka mashuleni ambazo zitamtesa akili na ajira hatopata ng'oooo
Ukweli mchungu...
Ndio muwashawishi ndugu zenu wasome vitu vya maana kama hivi, leo hii tupo tunaojuta kwenda kusoma vyuo coz ambazo kimsingi tuliona zina heshima kuliko wale waliokwenda VETA na Ufundi kumbe wao ndio wana nafuu kuliko sisi.Computer haina hela kwenye hard ware.
Computer ina hela kwenye digital ama softwares.
Watengeneza apps, watu wa digital security, system administrators hawalali njaa hata siku moja.
Hata hii jamiiforums kuna wahuni kibao wanapiga nayo hela kwa kuilinda iwe hewani tu kina sisi ku comment
Tafadhalini muwe mnasoma post nzima na kuelewa kabla hamjacommentHata hizo kozi Sio garantii ya soko la ajira.
Muhimu wasome huku ukiwaandalia mazingira pia ya kesho Yao.
Mfano kuwapandia miti,kuwashikia maeneo wakimaliza chuo yanakuwa ni marketable wanapata msingi wa kuanzisha ujasiliamali wa kile walichosomea.
Pia wapate hata mtaji wa kujaribu kwenda kujaribu hata nje ya nchi maisha
Hakuna cha probability wala nini ungesoma andiko langu ungeelewa zaidi maana nimesisitiza, nje ya mataraijio yenu ya kipumbavu kwanini kama wazazi msikazane kutafute hela ili hao watoto wenu msiwafanyie bahati nasibu kuwasomesha mambo ambayo hata hamna uhakika kama yatawasaidia, mara nyingi mimi hutoa maoni ambayo ni BEYOND YA UELEWA WA WATU WAJINGA NA WAJUAJI, ukiusoma ujumbe wangu utapata picha ya kitu kitakachosolve tatizo la ajira kwa watoto wa masikini wasio na uelekeo wa maisha.Naona hujasoma post umekurupuka ku comment baada ya kusoma kichwa tu.
Kasome post nzima maana hujasoma vipengere muhimu kama Probability na kujiajiri
Mkuu si useme ulikua hujui kuna course ya BEE KEEPING...unazuga hadi unachekesha hahahahahHebu kwanza niambie ni lini mara ya mwisho serikali imetoa hizo ajira za ufugaji wa nyuki ?
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba hapa tunzazungumzia kozi amabazo zina probability nzuri ya kuajiria ama kujiajiri na kipato walau cha kumweka mtu vizuri.
Mtu hata akiitwa engineer flani, Dokta flani, Lawyer flani, Cpa flani, hata picha inakujia tu kwamba angalau uchumi wake si haba.