JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Wazee wa Dar walikuwa na nguvu sana enzi hizo. Nakumbuka Tibaijuka aliondolewa uwaziri kwa nguvu zao.
Hili la Bandali mnalionaje? Mnataka Bandali iende tuu ?
NB.
Ni marufuku mtu kulinganisha mkataba wa bomba la mafuta na Bandari.
Bandari ni yetu na mafuta sio yetu
Hili la Bandali mnalionaje? Mnataka Bandali iende tuu ?
NB.
Ni marufuku mtu kulinganisha mkataba wa bomba la mafuta na Bandari.
Bandari ni yetu na mafuta sio yetu