Kwenu Wazee Wa Dar: Bandari unaenda hiyoo

Kwenu Wazee Wa Dar: Bandari unaenda hiyoo

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Wazee wa Dar walikuwa na nguvu sana enzi hizo. Nakumbuka Tibaijuka aliondolewa uwaziri kwa nguvu zao.

Hili la Bandali mnalionaje? Mnataka Bandali iende tuu ?

NB.

Ni marufuku mtu kulinganisha mkataba wa bomba la mafuta na Bandari.

Bandari ni yetu na mafuta sio yetu
 
Wazee wa matanuzi wa dar, bandari ndio lango lao kuu la kupigia noti, sasa sijui itakuaje?, no worry mlango utapatikana kupitia goli hilohilo! (Goli la wana)
 
Wazee wa matanuzi wa dar, bandari ndio lango lao kuu la kupigia noti, sasa sijui itakuaje?, no worry mlango utapatikana kupitia goli hilohilo! (Goli la wana)
Siku hizi wazee hawapo au?
 
1686466642510.png
 
Back
Top Bottom