Kwenye African Top Class Coaches hatuna Makocha wa Kitanzania. Kwanini? Je, uelekeo wa kuwa nao huko mbeleni upo?

Kwenye African Top Class Coaches hatuna Makocha wa Kitanzania. Kwanini? Je, uelekeo wa kuwa nao huko mbeleni upo?

Wildlifer

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2021
Posts
1,884
Reaction score
5,235
Kadri soka letu linavyozidi kukua, eneo hili ninaona kama halijongei. Kwanini tunaweza zalisha International players kama Samata, international clubs kama Simba, FIFA's class referrees, International media company kama Azam, lakini hatuoni Makocha wakubwa Afrika kutokea Tanzania?
 
Vikozi vya wiki mvili unawezaje kuzalisha top coach, halafu makocha wenyewe wakimaliza wanasubiri wafundishe ligi kuu wanaogopa hata kwenda Comoro kufundisha.
 
Makocha wapo busy kufundisha wachezaji kukamia game moja moja za simba au Yanga kwa Mahaba yao unataka wawe Top Class?
 
Hakuna mtu kama mkude na boko na matola wakienda kusomea wanadakwa supplementary vichwa vyao havishiki nondo matola kila siku anaenda kusoma ila akirudi ni kocha msaidizi au simba B.
 
Mgunda alipotezwa na Simba lakini angeweza kufika mbali sana
 
Sijui suala la lugha ama la....naona wanaishia kati kati tu...pia hii league yetu ikisimama vizuri watatuamini....
 
Wewe kocha unayemjua anayetokea tanzania ni nani?
 
Back
Top Bottom