Kwenye awamu ya 5 viongozi wote Wastaafu na waliokuwa madarakani mawasiliano yao yalidukuliwa na kuanikwa hadharani. Faragha zao zilipuuzwa

Kwenye awamu ya 5 viongozi wote Wastaafu na waliokuwa madarakani mawasiliano yao yalidukuliwa na kuanikwa hadharani. Faragha zao zilipuuzwa

Sugu bwana unadhani kuendelea kuisakama awamu ya tano ndio kutakupa credit ya kupewa jimbo 2025?
 
Ninakuonya! Ulikotoka ni mbali sana, umekuwa mtu mhimu sana hapa kwa nyakati tofautofauti, kwa sasa hadhi yako inashuka sana

Umekuwa na nyuzi za kijinga mno, sielewi iwapo na wewe ulipigwa zile chanjo za Korona, walio wengi wameendelea kuchizika
Afadhali kuchizika na korona kuliko kukata batri baada yakupima korona mapapai,fisi,ngedere ,makada ya CCM n.k
 
Weka ukweli
ndio maana kule kwenye debe huwa makataliwa, kwasababu unajaribu kutetea kitu ambacho unaemtetea halalamiki, hana shida nacho na wala haihitaji msaada wako 🐒

you are just forcing something doesn't exist 🐒
 
Tunaendelea na mada zetu za mwezi huu ambao ni mwezi wa Mungu .

Kwenye uongozi wa awamu ya 5 , haki za kikatiba , ikiwemo haki ya faragha ilipuuzwa , viongozi wote wa sasa na wastaafu , wakiwemo hata raia wa kawaida waliotiliwa shaka , hasa wale wanaotumia mawasiliano ya Kitanzania walidukuliwa , Taarifa zinaeleza kwamba hawa akina Nape , Membe , Kinana na Makamba ni wachache katika wengi waliodukuliwa , faragha za watu zilianikwa na wadukuaji waliotumwa , simu zote za familia za viongozi na wajukuu zao zilidukuliwa , unaambiwa ilikuwa aibu , maana udukuzi huo ulikuwa wa kishamba sana , kiasi cha kudukua hata waliokuwa wanaongea mambo yao na mahawara zao au michepuko yao , hivi unamdukua mtu anayeongea na hawaraake ili upate nini ?

View attachment 2935450

Ukitaka kuthibitisha hilo fuatilia nyuzi za Cheusi Mangala , ambayo tunadhani ilikuwa ID ya wadukuzi wenyewe au mtu wa karibu na wadukuzi ama labda msamaria mwema , huyu ndiye aliyeanika udukuzi wote hapa JF

Udukuzi ule zaidi ya kudhalilisha viongozi waliotajwa haukuwa na tija yoyote kwenye Taifa , hakuna hata mmoja kati ya waliodukuliwa aliyeonyesha uhaini wowote , hoja zao nyingi walizodukuliwa nazo zilikuwa ni za mshangao tu wa namna nchi inavyoendeshwa kishamba , badala ya kuwadhalilisha wadukuliwa , hoja zao zilipaswa kutumia kujisahihisha .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Imesimama njoo ukalie
 
ndio maana kule kwenye debe huwa makataliwa, kwasababu unajaribu kutetea kitu ambacho unaemtetea halalamiki, hana shida nacho na wala haihitaji msaada wako 🐒

you are just forcing something doesn't exist 🐒
Tunachokifanya ni kuzuia uchafu huu usijirudie tena kwenye nchi hii , NEVER AND NEVER AGAIN , hata kama hakuna anayelalamika .

Wakati Nyerere na wenzake wakipigania Uhuru walikuwepo Watanganyika walioona wanapoteza muda , walisema kama wewe kwamba hakuna malalamiko , lakini wapigania uhuru waliendelea kupambana hadi mwisho
 
Tunaendelea na mada zetu za mwezi huu ambao ni mwezi wa Mungu .

Kwenye uongozi wa awamu ya 5, haki za kikatiba, ikiwemo haki ya faragha ilipuuzwa , viongozi wote wa sasa na wastaafu , wakiwemo hata raia wa kawaida waliotiliwa shaka, hasa wale wanaotumia mawasiliano ya Kitanzania walidukuliwa, Taarifa zinaeleza kwamba hawa akina Nape, Membe, Kinana na Makamba ni wachache katika wengi waliodukuliwa, faragha za watu zilianikwa na wadukuaji waliotumwa, simu zote za familia za viongozi na wajukuu zao zilidukuliwa, unaambiwa ilikuwa aibu, maana udukuzi huo ulikuwa wa kishamba sana, kiasi cha kudukua hata waliokuwa wanaongea mambo yao na mahawara zao au michepuko yao, hivi unamdukua mtu anayeongea na hawaraake ili upate nini?


Ukitaka kuthibitisha hilo fuatilia nyuzi za Cheusi Mangala, ambayo tunadhani ilikuwa ID ya wadukuzi wenyewe au mtu wa karibu na wadukuzi ama labda msamaria mwema, huyu ndiye aliyeanika udukuzi wote hapa JF

Udukuzi ule zaidi ya kudhalilisha viongozi waliotajwa haukuwa na tija yoyote kwenye Taifa , hakuna hata mmoja kati ya waliodukuliwa aliyeonyesha uhaini wowote. Hoja zao nyingi walizodukuliwa nazo zilikuwa ni za mshangao tu wa namna nchi inavyoendeshwa kishamba, badala ya kuwadhalilisha wadukuliwa, hoja zao zilipaswa kutumia kujisahihisha.

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Awamu ya 4 Kibajaj akiwa Bungeni alisoma barua ya Mapenzi Kutoka kwa Mwenyekiti wa Chadema na KUB Mbowe kwenda kwa Kada wa CCM Wema Sepetu 🐼

Kawaida sana 😂😂😂
 
uongo na upotoshaji una haribu hadhi na kushusha heshima na utu wako 🐒

zaidi sana unaharibu image na status ya taasisi yako mbele za jamii, unaikosesha kuaminika 🐒

hata hivyo ni hii dalili bayana iliyokomaa tena iliyokomaa kabisaa, ya kukosa hoja, kukosa sera, Lakini na kupoteza uelekeo na dira kung'ag'ana na masuala ambayo hayana umuhimu wowote wala hayasaidi kukuongezea chochote 🐒

umaskini wa hoja, fikra na sera ni uraibu unaotia huruma sana mbele ya jamii 🐒
Yawezekana wewe awamu ya 5 ulikua hujazaliwa.
 
Tunaendelea na mada zetu za mwezi huu ambao ni mwezi wa Mungu .

Kwenye uongozi wa awamu ya 5, haki za kikatiba, ikiwemo haki ya faragha ilipuuzwa , viongozi wote wa sasa na wastaafu , wakiwemo hata raia wa kawaida waliotiliwa shaka, hasa wale wanaotumia mawasiliano ya Kitanzania walidukuliwa, Taarifa zinaeleza kwamba hawa akina Nape, Membe, Kinana na Makamba ni wachache katika wengi waliodukuliwa, faragha za watu zilianikwa na wadukuaji waliotumwa, simu zote za familia za viongozi na wajukuu zao zilidukuliwa, unaambiwa ilikuwa aibu, maana udukuzi huo ulikuwa wa kishamba sana, kiasi cha kudukua hata waliokuwa wanaongea mambo yao na mahawara zao au michepuko yao, hivi unamdukua mtu anayeongea na hawaraake ili upate nini?


Ukitaka kuthibitisha hilo fuatilia nyuzi za Cheusi Mangala, ambayo tunadhani ilikuwa ID ya wadukuzi wenyewe au mtu wa karibu na wadukuzi ama labda msamaria mwema, huyu ndiye aliyeanika udukuzi wote hapa JF

Udukuzi ule zaidi ya kudhalilisha viongozi waliotajwa haukuwa na tija yoyote kwenye Taifa , hakuna hata mmoja kati ya waliodukuliwa aliyeonyesha uhaini wowote. Hoja zao nyingi walizodukuliwa nazo zilikuwa ni za mshangao tu wa namna nchi inavyoendeshwa kishamba, badala ya kuwadhalilisha wadukuliwa, hoja zao zilipaswa kutumia kujisahihisha.

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Mambo ambayo hayatija tija kwenye biashara au shughuli zako usipende kujishughulisha nayo, mmetufanya tufikirie mara mbili tatu na mwenendo wa chama chenu hasa sie tuliopigania chama enzi hzo bonyai akiwa hata Bado redbriged.
 
Mambo ambayo hayatija tija kwenye biashara au shughuli zako usipende kujishughulisha nayo, mmetufanya tufikirie mara mbili tatu na mwenendo wa chama chenu hasa sie tuliopigania chama enzi hzo bonyai akiwa hata Bado redbriged.
Haya
 
Tunachokifanya ni kuzuia uchafu huu usijirudie tena kwenye nchi hii , NEVER AND NEVER AGAIN , hata kama hakuna anayelalamika .

Wakati Nyerere na wenzake wakipigania Uhuru walikuwepo Watanganyika walioona wanapoteza muda , walisema kama wewe kwamba hakuna malalamiko , lakini wapigania uhuru waliendelea kupambana hadi mwisho
unazuiaje kitu ambacho hakipo 🐒

wew sio threat kwa yeyote popote nani atababaika na wew bana kamanda 🐒

kwa uongo na upotoshaji huo nani atakuamini at uwe kiongozi wao hali yakua hata mahitaji na vipaumbele vyao hujui 🐒

Politically speaking,
nilikupa ushauri mujarabu sana mapema, kwamba hii inayumbisha image yako na taasisi yako kwamba mnakaa kubuni uongo ambao si tu hauna maana bali unadidimiza zaidi imani ya wafuasi wenu waliowaamini 🐒
 
unazuiaje kitu ambacho hakipo 🐒

wew sio threat kwa yeyote popote nani atababaika na wew bana kamanda 🐒

kwa uongo na upotoshaji huo nani atakuamini at uwe kiongozi wao hali yakua hata mahitaji na vipaumbele vyao hujui 🐒

Politically speaking,
nilikupa ushauri mujarabu sana mapema, kwamba hii inayumbisha image yako na taasisi yako kwamba mnakaa kubuni uongo ambao si tu hauna maana bali unadidimiza zaidi imani ya wafuasi wenu waliowaamini 🐒
Kwamba watu hawakudukuliwa ?
 
Back
Top Bottom