Kwenye barabara za mwendokasi, ifungwe mitambo ya kuzalisha umeme (windpower)

Kwenye barabara za mwendokasi, ifungwe mitambo ya kuzalisha umeme (windpower)

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Nimetembea baadhi ya nchi za ulaya, njia za mwendokasi zinatumika kuzalisha umeme wa upepo kutikana na upepo unao zalizwa na mabasi yanapo pita..

NI njia rahisi sana ya kuongeza umeme kwenye grid ya taifa.. ukiweka barabara zote za mwendo kasi hatuwezi kosa MW 50. Naomba kuwasilisha wazo

Angalieni video hapo chini

 
Nimetembea baadhi ya nchi za ulaya, njia za mwendokasi zinatumika kuzalisha umeme wa upepo kutikana na upepo unao zalizwa na mabasi yanapo pita..

NI njia rahisi sana ya kuongeza umeme kwenye grid ya taifa.. ukiweka barabara zote za mwendo kasi hatuwezi kosa MW 50. Naomba kuwasilisha wazo

Angalieni video hapo chini
Haya mabumunda yetu yanayo waza kuiba na kuizuia chadema yatakuelewa sasa.
 
Nimetembea baadhi ya nchi za ulaya, njia za mwendokasi zinatumika kuzalisha umeme wa upepo kutikana na upepo unao zalizwa na mabasi yanapo pita..

NI njia rahisi sana ya kuongeza umeme kwenye grid ya taifa.. ukiweka barabara zote za mwendo kasi hatuwezi kosa MW 50. Naomba kuwasilisha wazo

Angalieni video hapo chini
Gharama za kutengeneza huu mfumo zipoje?Na gharama za mantainance zipoje?
 
Nimetembea baadhi ya nchi za ulaya, njia za mwendokasi zinatumika kuzalisha umeme wa upepo kutikana na upepo unao zalizwa na mabasi yanapo pita..

NI njia rahisi sana ya kuongeza umeme kwenye grid ya taifa.. ukiweka barabara zote za mwendo kasi hatuwezi kosa MW 50. Naomba kuwasilisha wazo

Angalieni video hapo chini
Kama hawana maslahi nacho hawatoweka
 
Nimetembea baadhi ya nchi za ulaya, njia za mwendokasi zinatumika kuzalisha umeme wa upepo kutikana na upepo unao zalizwa na mabasi yanapo pita..

NI njia rahisi sana ya kuongeza umeme kwenye grid ya taifa.. ukiweka barabara zote za mwendo kasi hatuwezi kosa MW 50. Naomba kuwasilisha wazo

Angalieni video hapo chini
You will need a constant flow of wind to generate considerable minimal voltage for that project.

Hiyo project inahitaji mabasi mangapi yapishane na kwa muda upi ili yaweze kufua huo umeme na nyie mna mabasi mangapi na yanapishana baada ya muda gani tuanzie hapo
 
pia hizi barabara za mwendokasi zingefungwa njia ya umeme kama ule wa sgr ili bus ziwe za umeme badala ya mafuta, kupunguza uchafuzi wa hali ya hewa na kupunguza kelele.

sasa hivi tunampa huyu jamaa yetu sanasana atakomaza soko lake la mafuta
 
Wazo zuri, shida ya mama Tanzania, inakila kitu isipokuwa UONGOZI BORA
 
Nimetembea baadhi ya nchi za ulaya, njia za mwendokasi zinatumika kuzalisha umeme wa upepo kutikana na upepo unao zalizwa na mabasi yanapo pita..

NI njia rahisi sana ya kuongeza umeme kwenye grid ya taifa.. ukiweka barabara zote za mwendo kasi hatuwezi kosa MW 50. Naomba kuwasilisha wazo

Angalieni video hapo chini
Wazo zuri sana ila kulitekeleza kwasasa na kwa watendaji tulio nao ni mtihani mkubwa
 
hizo innovations hazijaanzishwa na viongozi wa japan!
Wakati wenzenu wanasoma PHYSICS nyie mnakimbilia Ungwini na kujidai wajuaji wa sheria
Lazima utengeneze watu wako, siasa inalipa kuliko physics kwa Tanzania, nani hataki maisha mazuri?
 
Mabasi yenyewe yamebaki sijui saba likipita moja hapo mpaka lije jingine litakuta hako kadubwana kameshajilalia zaaaamaaani sana kanakoroma
 
Back
Top Bottom