CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Cocacola au peps hawa jamaa wana Model yao wanayo itumia nitaelezea kwa Tanzania.
Hawa wanatafuta sarafu pekeee kwenye mauzo yao hawatafuti noti za msimbazi.
TANZANIA KWANZA TUNA PESA ZIFUATAZO MPAKA SASA
1. Cent 5
2.Cent 10
3. Cent 20
4. Cent 50
5.Sh 1
6.Sh 5
7.Sh 10
8.Sh 20
8.Sh 50
9.Sh 100
10.sh 200
11.Sh 500
12.Sh 1000
13.Sh 2000
14 Sh 5000
15.Sh 10,000.
Sasa kampuni kama cocacola au peps wao wanatafuta kaunzia Namba 11 kushuka chini
Mchoma mahindi anatafuta kuanzia sh 500 kushuja chini.
Muuza pipi anatafuta sarafu za sh 50 hatafuti elfu 10.
Kwenye biashara unapaswa kuangali uwezo wako ni upi?
Kama ni sarafu basi wewe jikite na Sarafu tu.
Sh 50/ ndo baadae zitakupatia not.
Azama na Iccreem zake anatafuta sarafy pekee.
Kiwanda cha pipi wanadili na sarafu.
Sigara wanadili na sarafu pekee.
Muuza karanga ana tafuta sarafu.
Hizi sarafu mwisho wa siku zikijumlishwa zitatoa noti.
Kuna biashara wao wanadili na note.
Sasa watu kama peps wanadili na Sarafu kwenye biashara zao za kila siku hawatafuti noti.
Kinacho gharimu watu ni kuto kujua anacho tafuta.
Next time nitaelezea kwa nini Model ya kutafuta sarafu ndo bora zaidi Duniani.
HAYA MASOMO NI MAGUMU KIDOGO SO KAMA INAKUSHINDA PITA KIMYA KIMYA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wanatafuta sarafu pekeee kwenye mauzo yao hawatafuti noti za msimbazi.
TANZANIA KWANZA TUNA PESA ZIFUATAZO MPAKA SASA
1. Cent 5
2.Cent 10
3. Cent 20
4. Cent 50
5.Sh 1
6.Sh 5
7.Sh 10
8.Sh 20
8.Sh 50
9.Sh 100
10.sh 200
11.Sh 500
12.Sh 1000
13.Sh 2000
14 Sh 5000
15.Sh 10,000.
Sasa kampuni kama cocacola au peps wao wanatafuta kaunzia Namba 11 kushuka chini
Mchoma mahindi anatafuta kuanzia sh 500 kushuja chini.
Muuza pipi anatafuta sarafu za sh 50 hatafuti elfu 10.
Kwenye biashara unapaswa kuangali uwezo wako ni upi?
Kama ni sarafu basi wewe jikite na Sarafu tu.
Sh 50/ ndo baadae zitakupatia not.
Azama na Iccreem zake anatafuta sarafy pekee.
Kiwanda cha pipi wanadili na sarafu.
Sigara wanadili na sarafu pekee.
Muuza karanga ana tafuta sarafu.
Hizi sarafu mwisho wa siku zikijumlishwa zitatoa noti.
Kuna biashara wao wanadili na note.
Sasa watu kama peps wanadili na Sarafu kwenye biashara zao za kila siku hawatafuti noti.
Kinacho gharimu watu ni kuto kujua anacho tafuta.
Next time nitaelezea kwa nini Model ya kutafuta sarafu ndo bora zaidi Duniani.
HAYA MASOMO NI MAGUMU KIDOGO SO KAMA INAKUSHINDA PITA KIMYA KIMYA
Sent using Jamii Forums mobile app