Kwenye eneo hili namkubali sana Elon Musk

Kwenye eneo hili namkubali sana Elon Musk

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Mwana anasisitiza watu wazaliane unlike yule mwenzie wa makompyuta anaeshadadia depopulation.

Heko kwa huyu mwamba, dunia inahitaji watu.

The future of humanity is through birth.

Screenshot_20241213-204426.png
 
Kuzaa muhimu sana hasa kama uwezo wako unaruhusu. Kuna mzee wetu mkubwa alibahatika kusomeshwa na wazungu huko ughaibuni na akapata kazi alizaa watoto2 tu na waliachana sana kwa umri hadi naandika hapa kashazeeka hana mtoto hata mmoja wote amezika. Bahati mbaya sana walifunga uzazi. alibarikiwa kuwa na kzi kubwa hapo bandarini......Saivi ameasili watoto 4 ke2 na me2.Sasa huu kama sio utahira ni nini? na amekuwa mtu wa kutoa ushuhuda makanisani kuwa watu wazaane sana na mifano kedekede.

Inasikitisha sana. mimi kwa afya tu nikijaliwa hata 7 sio mbaya.
 
Mwenye Dunia yake aliwaambieni muijaze Dunia, cha ajabu watu wanampangia,

Licha ya kumpangia, bado maisha yamewachapa kinoma,
 
JInsi unavyozidi kupata watoto ndio akili inaongezeka ya ni namna gani wale, wavae na wasome.
 
Back
Top Bottom