Kwenye Hapa Kazi Tuu, Watani Wa Dar, Sasa Kufanya Kazi Moja Tuu...Nayo Ni...!

Kwenye Hapa Kazi Tuu, Watani Wa Dar, Sasa Kufanya Kazi Moja Tuu...Nayo Ni...!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995


Nina maswali machache madogo kuhusu tamko hili...

1.Kwa vile tangazo hili ni kwa watani zake wa Darisalama, jee tamko hili ni la utani tuu kuatania watani zake?!, au ni tamko ni la kweli bali walengwa ndio hao watani zake, Wana Darisalama?!.

2. Jee walengwa ni Wana Darisalama wote au ni wale Wanadarisalama tuu ambao kabila yao wana utani na rais?!.

3. Rais akitoa agizo kwa Wanadarisalama, huwa ana maanisha Wana Darisalama pekee, au Watanzania kwa ujumla?!.

P.
 
Agizo kwa Wanaume wa Dar toka kwa Wanaume wa Mikoani.


Kumekuwa na Tabia kila msiba unapotokea Dar mnajazana kuja kijijini kuzika...

+Mkifika hamchimbi kaburi.
+Hamumlilii marehemu
+Hamumswalii marehemu
+Hamumfukii marehemu


Mnachokiweza na kukaa na kupiga soga. Mmefanya misiba ni vijiwe vya kuzungumzia siasa.


Sasa tunasema hivi. Msiba ukitokea mbaki huko huko . mkija hakuna mnalofanya..


Kauli hii imetolewa na:
Umoja wa Wanaume wa Mikoani. Wanaotambua maana ya "Uanaume"
 
Back
Top Bottom