Unataka kusema nini sasa? Unaita wenzako vilaza, wewe maoni yako yako wapi?Rudi hapa mwakani muda na wakati kama huu halafu tupige hesabu wote, kwa maana watu wengine ni wagumu kuelewa na huchukuwa muda kuelewa mambo marahisi sana, kwa kifupi hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya kurudia yale yale vi.laza wenzako waliokwisha andika na sijui hata kwa nini unaanzisha uzi mwingine wkt kuna zaidi ya 100 na zinaongelea jambo hilo hilo na hakuna jipya lolote linaloelezwa!
Usipotoshe juu ya ulichoandika. Kumsema Rais kwamba 'kakosea sana', hilo si tatizo hata kidogo. Tatizo ni kumtukana Rais kwamba ana 'ujinga uliovuka mipaka katika fani ya biashara'. Huo ni ulimbukeni na ukosefu wa adabu uliopitiliza.
Mtoa post poyoyo kabisa unadhani hayoyote raisi hakuyaona, haya tangu utalii uanze mpak sasa bila hiyo vat Tanzania kama nchi imefaidikaje zaidi ya kuzidi kuwa masikini na watu wachache kuneemeka, Magufuli ameona mbali juu ya hiyo Vat na watalii watakuja tu hakuna namna nyingine
Na mimi namuita kwa sauti ya kikamandaRudi hapa mwakani muda na wakati kama huu halafu tupige hesabu wote, kwa maana watu wengine ni wagumu kuelewa na huchukuwa muda kuelewa mambo marahisi sana, kwa kifupi hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya kurudia yale yale vi.laza wenzako waliokwisha andika na sijui hata kwa nini unaanzisha uzi mwingine wkt kuna zaidi ya 100 na zinaongelea jambo hilo hilo na hakuna jipya lolote linaloelezwa!