Kwenye hili Majizo umezingua

Kwenye hili Majizo umezingua

Yes, Lakini hiyo sio sababu ya kubeza na sababu ipo wazi kabisa, Kwa sasa Digital ndiyo means inayowaingizia pesa wasanii vizuri na kwa uwazi unaoeleweka kuliko mfumo wa zamani ambao ilikua ni kusubiri Matamasha na mauzo ya albums ambako walikua wanapigwa.
Huwezi kulinganisha pesa kutoka kwenye Matamasha na Youtube views. Kwa Wastani wa Views Milioni 1 Msanii anaweza kutengeneza Tsh. Laki 5 hadi 8, Jiulize ni wasanii wangapi wanaweza kutoa nyimbo zenye kupata 1+ mil Views ndani ya muda mfupi? Linganisha na Msanii akipanda Jukwaani kwenda kupiga playback na makelele ya "Mikono juu, tuimbe wote sasa" then akishuka Jukwaani anakunja milioni mbili/tatu mfukoni.

Mfano kipindi cha nyuma, Tamaduni Muzik content zao zilikua zinatembea sana kwenye digital na mitaani lakini kwenye media huwasikii hata kidogo na ni wachache waliofanikiwa kupata atleast airtime kama akina Nikki, Stereo
Ni kweli walifanikiwa kujitangaza na kufikia walengwa wao, lakini hawakunufaika kiuchumi na ndio maana sasa hivi hata kazi zao(albums) hawaziachii sana kwenye Streaming platforms ila wanaziuza Mkono kwa mkono/E-mail/Whatsapp
 
Yote kwa yote
Majizo hana cha kujifunza kwa mondi ila mondi ana cha kujifunza kwa majizo....
 
Majizo anataka kigezo kiwe kuchezwa kwenye redio yake anasahau kwamba watu wameshatoka huko. Yani Marekani wanatumia Youtube kama kigezo lakini kilaza mmoja bongo aliyebahatisha maisha anawapinga.
 
Majizo anataka kigezo kiwe kuchezwa kwenye redio yake anasahau kwamba watu wameshatoka huko. Yani Marekani wanatumia Youtube kama kigezo lakini kilaza mmoja bongo aliyebahatisha maisha anawapinga.
Majizo kabahatisha maisha[emoji44][emoji44][emoji44]


Kweli kupenda upofu
 
Huwezi kulinganisha pesa kutoka kwenye Matamasha na Youtube views. Kwa Wastani wa Views Milioni 1 Msanii anaweza kutengeneza Tsh. Laki 5 hadi 8, Jiulize ni wasanii wangapi wanaweza kutoa nyimbo zenye kupata 1+ mil Views ndani ya muda mfupi? Linganisha na Msanii akipanda Jukwaani kwenda kupiga playback na makelele ya "Mikono juu, tuimbe wote sasa" then akishuka Jukwaani anakunja milioni mbili/tatu mfukoni.


Ni kweli walifanikiwa kujitangaza na kufikia walengwa wao, lakini hawakunufaika kiuchumi na ndio maana sasa hivi hata kazi zao(albums) hawaziachii sana kwenye Streaming platforms ila wanaziuza Mkono kwa mkono/E-mail/Whatsapp
Hayo matamasha yako wapi na Korona hii bro ? Hata kama yangekuwepo ni akina nan wa kupewa 2mil per show? Kwa kuongezea Tu YouTube ndo platform yenye pesa kiduchu kuliko zingine , views mil 39 wimbo wa WAAH umeingiza mil 89 , sasa hv Una views 60 mill sjui iliyoongezeka , ukiachana na YouTube kuna mauzo ya Sportfy na Apple music ndo zenye hela na wimbo wa diamond umeuza Sana nje nafkr ukipewa data zake hela ulizoingiza huo wimbo huenda ni bajeti nzima ya matamasha ya fiesta na Wasafi festival combined together Kwa nchi nzima ...

Whatever the stuation diamond anatengeneza pesa bhana , mzikiii hawajakurupuka kutoa bill 11+ Kwa Wasafi , Sisi wengine wacha tukomae na kilimo Kwanza huenda tutatoboa
 
Hayo matamasha yako wapi na Korona hii bro ? Hata kama yangekuwepo ni akina nan wa kupewa 2mil per show? Kwa kuongezea Tu YouTube ndo platform yenye pesa kiduchu kuliko zingine , views mil 39 wimbo wa WAAH umeingiza mil 89 , sasa hv Una views 60 mill sjui iliyoongezeka , ukiachana na YouTube kuna mauzo ya Sportfy na Apple music ndo zenye hela na wimbo wa diamond umeuza Sana nje nafkr ukipewa data zake hela ulizoingiza huo wimbo huenda ni bajeti nzima ya matamasha ya fiesta na Wasafi festival combined together Kwa nchi nzima ...

Whatever the stuation diamond anatengeneza pesa bhana , mzikiii hawajakurupuka kutoa bill 11+ Kwa Wasafi , Sisi wengine wacha tukomae na kilimo Kwanza huenda tutatoboa
Ni wasanii wangapi wanaotengeneza hizo Pesa ama kupata Views & Streams kama za Diamond? Kama unamzungumzia Diamond pekee uko sahihi? Ila kama unazungumzia 'Wasanii' fanya utafiti zaidi.
 
Lakini hapana kwa asilimia flani kutrend kwene hizi digital platforms zinaweza kuwa kielelezo cha ukubwa wako...mfano mtu Kama diamond kinachomfanya atrend au kutazamwa zaidi ni kwasababu yeye ni mkubwa anawafuasi wengi hivo lazima kazi zake zitatazamwa zaidi
Ah huyu usihangaike anashindwa tu kumfata diamond pale wcb akamloge..
 
Majizzo katia sana aibu, Kaweka Hisia kwenye Professional.

Aliulizwa swali kwamba ku trend YouTube, Instagram kunakufanya kuwa msanii mkubwa? Jibu lake alikua sahihi kwamba sio hivyo as Msanii kuwa mkubwa kuna features nyingi na sio kwa specific angle.

Alipokuja kuboronga ni kuonesha kwamba Digital bado si chochote kwa Bongo kuliko Radios, Tv's na other Media Channels. Alafu pumba zaidi ni anasema kabisa eti hata makampuni makubwa hayajaacha kufanya matangazo kwenye Mass Channels (Communication).

Yaani Majizzo anachojua, Ukisema Mass Channels (Communication) anajua ni Radios, Tv's na Magazeti, Wakati Intaneti kwa ujumla inaingia kwenye Mass Communication.

Tanzania kwa mujibu wa Data za mwaka jana ina watumiaji wa intaneti Milioni 23.14, Idadi ya watu kwa nchi nzima ni zaidi ya watu Milioni 60+. Point yake ni kweli kwamba utumiaji wa Intaneti kwa Bongo bado ni changamoto na still bado watu wengi hawajawa connected na hata wakiwa connected hawapati network nzuri.

Yes, Lakini hiyo sio sababu ya kubeza na sababu ipo wazi kabisa, Kwa sasa Digital ndiyo means inayowaingizia pesa wasanii vizuri na kwa uwazi unaoeleweka kuliko mfumo wa zamani ambao ilikua ni kusubiri Matamasha na mauzo ya albums ambako walikua wanapigwa.

Hali ambayo pia ikatengeneza kuwasujudia baadhi ya watu sababu tu wana matamasha, Yeye mwenyewe tu Majizzo anajua vyema kiasi anachowapa wasanii kwa shoo zake ni kidogo mnooo.

Mnakumbuka Chid Benz anasema alipewa Laki Tatu? Sasa hiyo pesa ni thamani ya Chid? Lakini kama Chid angewekeza vyema kwenye Digital angekua na uhakika wa kula pesa kama hiyo tena endelevu sio mpaka kusubiri shoo.

Mimi nachoona kila mtu ashinde tu mechi zake, Mambo ya kubeza hivi na hivi haipendezi tena kwa mtu kama yeye ambae reality anaijua vyema sana ndani.

Nje kuna wasanii ambao wanapata airtime nzuri kwenye media lakini Digital hawafanyi vyema, Na wengine wanafanya vyema Digital lakini kwenye hizo Media hawapati airtime.

Mfano kipindi cha nyuma, Tamaduni Muzik content zao zilikua zinatembea sana kwenye digital na mitaani lakini kwenye media huwasikii hata kidogo na ni wachache waliofanikiwa kupata atleast airtime kama akina Nikki, Stereo

Majizo yuko sahihi sana

Mno

Labda unaishi kariakoo haujui tandahimba vijijini wanasikiliza redio zaidi
 
Back
Top Bottom