Kwenye hili,WANAUME tunafyata mkia!

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Sidhani kama hili nalo linahitaji mabishano!Ukweli ni kwamba kwenye ndoa au mahusiano,mwanamke ndie muamuzi kwamba hiyo ndoa au mahusiano yaendelee ama la,akichoka MWANAUME lazima utoke nduki maana vibweka vyao havivumiliki.Sorce,METHALI 14:1"Mwanamke mwenye hekima hujenga nyumba yake,lakini alie mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe"na pia kuna mahali pameandikwa"ni heri kukaa juu ya paa la nyumba kuliko kuishi ndani ya nyumba na mwanamke mgomvi na mlalamishi"!Maandiko haya yanaonesha namna ambavyo mwanamke ana nguvu linapokuja suala la kusitisha ndoa/mahusiano!Hapa lazima wanaume tufyate mkia!
 

Kaka quote ya pili tupe source kama ile ya kwanza.
 
Mpeni atakacho mwanamke kwani ndio mlezi wenu na watoto wenu akitaka nuymba mpe raha ndio usiseme...
 
Aisee hiyo quote ya pili nimechoka mimi kamanda
 
he he he sometimes ukisoma bible inabidi ucheke tu..eti..ni kheri kukaa juu ya paa la nyumba....wanawake wana stress hila hatuwezi ishi bila wao
 

Kila mmoja ananafasi yake ktk jamii so siwezishangaa
 
Ndo maana na mwingereza nae akasema behind the sacceseful man there is a woman japo siikubali kivile ila....!
 
Fact of life: One woman brings you into this world crying and the other ensures you continue to do so for the rest of your life!
 
Fact of life: One woman brings you into this world crying and the other ensures you continue to do so for the rest of your life!

Hii nayo mh!We acha tu,hawa wanawake hawa!!
 
Akili yenyewe ni kuwa na kajumba kadogo pembeni ukinuna nahama kwa muda

Duh! Sasa ukihama kwa muda siku utakayo rudi mie ndio ntakuondosha moja kwa moja kwa kero nitakazokushushia.
 
Duh! Sasa ukihama kwa muda siku utakayo rudi mie ndio ntakuondosha moja kwa moja kwa kero nitakazokushushia.

Ona!Wanawake bana wana shida sana!
 
ila kiboko ya mwanamke mpachike watoto 3 wa haraka, kila mwaka ndo unampumzisha kwa miaka minne ile anaanza kuinua macho juu unampa ya mwisho ya kuzeekz nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…