Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Mwezi April tarehe 12 mwaka 1984 majira ya jioni, watanzania tulitangaziwa habari mbaya za kifo cha Edward Moringe Sokoine ambae alikuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mtangazaji wa habari hizo alikuwa ni hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Leo ni miaka 36 imepita tangu tumpoteze kiongozi shujaa wa kupambana na ulanguzi, wala rushwa na mafisadi.
Lakini nimepata video ambayo ilikuwa ni taarifa ya habari iloushwa na kituo cha televisheni cha Channel Ten mwaka 2015 wakti wa kampeni ya uchaguzi wa uraisi huko Monduli mkoani Arusha.
Msikilize mgombea wa uraisi kwa tiketi ya CCM na ambae sasa ni raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Joseph Pombe Magufuli kwa manejo yake mwenyewe akiahidi kufanya kazi kama alivyokuwa hayati Sokoine.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kumbuka:
Kunawa mikono kila mara kwa maji yanayotiririka na sabuni
Tumia kitakasa mikono au sanitiser
Epuka misongamano na uweke umbali wa mita moja kati yako na mtu mwingine.
Epuka kuzurura mitaani bila sababu maalum
Mtangazaji wa habari hizo alikuwa ni hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Leo ni miaka 36 imepita tangu tumpoteze kiongozi shujaa wa kupambana na ulanguzi, wala rushwa na mafisadi.
Lakini nimepata video ambayo ilikuwa ni taarifa ya habari iloushwa na kituo cha televisheni cha Channel Ten mwaka 2015 wakti wa kampeni ya uchaguzi wa uraisi huko Monduli mkoani Arusha.
Msikilize mgombea wa uraisi kwa tiketi ya CCM na ambae sasa ni raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Joseph Pombe Magufuli kwa manejo yake mwenyewe akiahidi kufanya kazi kama alivyokuwa hayati Sokoine.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kumbuka:
Kunawa mikono kila mara kwa maji yanayotiririka na sabuni
Tumia kitakasa mikono au sanitiser
Epuka misongamano na uweke umbali wa mita moja kati yako na mtu mwingine.
Epuka kuzurura mitaani bila sababu maalum