Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Hoja za kitoto ni kuita Mapendekezo ya Katiba mpya kuwa ya Kiraia na huku unajua walioshinikiza kuwepo kwa mapendekezo sio wananchi ila ni vyama vya wapinzani zaidi, unless huna history na this ishu, next time wacha kukurupuka na majibu ya kitoto kwenye hoja ya watuwazima! ha1 ha1 ha! ha1
Le Mutuz
Kwann yasjae machadema??
- Huwezi kupigana na FACT kwamba Wapinzani ni wachache sio kosa la CCM!!
Le Mutuz
- Ni kwa sababu mliowapenyeza ni wachache sio kosa la CCM!! ha! ha!
Le Mutuz
Ulipotea sana William, tulizi-miss sana PUMBA zako...
Ni wachache halafu hawana hoja kabisa- Ni kwa sababu mliowapenyeza ni wachache sio kosa la CCM!! ha! ha!
Le Mutuz
tunasubiri ccm ijichanganye ili tupate hoja, hatuwezi kwenda kichwa kichwa,
Yanaitwa Ma-Chamdomo mkuu