Kennysoblessed
Member
- Sep 10, 2014
- 7
- 5
Haina sifa ya kutoa mchezaji bora duniani kwasababu hailei vipaji, EPL ni ligi maarufu Ila sio bora, Ubovu wa EPL unaitafuna hadi timu ya Taifa ya England......alafu bingwa hatabiriki kwasababu karibia timu zote ni average na zina average playersKwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...
Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...
Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..
1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool
Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...
Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?
Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
We jiulize tu kwanini ma-legend wa SokA ulimwenguni wameikimbia EPL kuanzia Messi, Gaucho, Real Ronaldo, Zidane, Cannavaro, Rivaldo nk.....ni kwasababu EPL hailei vipajiKwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...
Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...
Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..
1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool
Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...
Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?
Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
Huo ni ukichaa sasa De bruyne anakiwango gani cha kumfikia Kroos au Iniesta.....KDB bado hata robo ajafikaHapo umetumika Unazi tu! Manake si Yeye, Barcelona wala Spain iliyofanya Cha maana Msimu Uliopita.. Ila Kaingizwa Kwa Sababu ni Barcelona tu isijeonekana ipo nyuma sana dhidi ya Real...
Kwa Hapo Kevin De Bruyne Kwa Midfield Yupo Juu Kuliko Wote hao (Iniesta & Kroos)..
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...
Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...
Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..
1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool
Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...
Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?
Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...
Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...
Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..
1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool
Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...
Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?
Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
Unataka iwalee vipi? Hao ndo malenged pekee wa mpira.We jiulize tu kwanini ma-legend wa SokA ulimwenguni wameikimbia EPL kuanzia Messi, Gaucho, Real Ronaldo, Zidane, Cannavaro, Rivaldo nk.....ni kwasababu EPL hailei vipaji
Staili ya mpira wa EPL haulei vipaji, kukamiana sana, player haruhusiwi kucheza mpira anaotaka.....laiti kama CR7 angebaki EPL tungesha msahauUnataka iwalee vipi? Hao ndo malenged pekee wa mpira.
Hapo ndipo waga najiask xana,wanatoa tuzo kwa kukaririIniesta kwa kiwango gani alichoonesha msimu uliopita?
Anaongoza Spurs,rudi tena kaangalie msimamoHAPO ATAKAE TAMBA NI MAN CITY TU WENGINE WASINDIKIZAJI___END OF THE DAY CITY NAYE ATANYUKWA NA KUTOLEWA OUT KABISA.
SO UBINGWA UTABAKIA SPAIN.
KWENYE GROUP ANAYE-ONGOZA NI MADRID BWANA NA SIO SPURS___
kwa kuwa huwezi kupiga watu chenga kijinga kule..huko kwa wapaka poda inawezekanaWe jiulize tu kwanini ma-legend wa SokA ulimwenguni wameikimbia EPL kuanzia Messi, Gaucho, Real Ronaldo, Zidane, Cannavaro, Rivaldo nk.....ni kwasababu EPL hailei vipaji
Hahahahahaha basi msilalamike players wa EPL kuendelea kukosekana kwenye Tuzo muhimu kama hizokwa kuwa huwezi kupiga watu chenga kijinga kule..huko kwa wapaka poda inawezekana
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...
Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...
Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..
1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool
Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...
Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?
Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...