Kwenye kikosi bora cha dunia hakuna hata mmoja kutoka epl, nini maana yake?

Kwenye kikosi bora cha dunia hakuna hata mmoja kutoka epl, nini maana yake?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inamaanisha epl ndio ligi ngum dunian[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...

Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...

Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..

1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool

Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...

Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?

Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
Haina sifa ya kutoa mchezaji bora duniani kwasababu hailei vipaji, EPL ni ligi maarufu Ila sio bora, Ubovu wa EPL unaitafuna hadi timu ya Taifa ya England......alafu bingwa hatabiriki kwasababu karibia timu zote ni average na zina average players
 
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...

Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...

Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..

1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool

Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...

Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?

Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
We jiulize tu kwanini ma-legend wa SokA ulimwenguni wameikimbia EPL kuanzia Messi, Gaucho, Real Ronaldo, Zidane, Cannavaro, Rivaldo nk.....ni kwasababu EPL hailei vipaji
 
Hapo umetumika Unazi tu! Manake si Yeye, Barcelona wala Spain iliyofanya Cha maana Msimu Uliopita.. Ila Kaingizwa Kwa Sababu ni Barcelona tu isijeonekana ipo nyuma sana dhidi ya Real...
Kwa Hapo Kevin De Bruyne Kwa Midfield Yupo Juu Kuliko Wote hao (Iniesta & Kroos)..
Huo ni ukichaa sasa De bruyne anakiwango gani cha kumfikia Kroos au Iniesta.....KDB bado hata robo ajafika
 
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...

Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...

Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..

1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool

Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...

Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?

Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
120f900cad041b3c4c734897c8c064fe.jpg
 
Here is the FIFA FIFPro World XI for 2017:

[emoji617]GK: Gianluigi Buffon

[emoji617]DEF: Dani Alves, Leonardo Bonucci, Sergio Ramos, Marcelo

[emoji617]MID: Toni Kroos, Luka Modric, Andres Iniesta

[emoji617]FWD: Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Neymar
 
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...

Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...

Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..

1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool

Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...

Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?

Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...

HAPO ATAKAE TAMBA NI MAN CITY TU WENGINE WASINDIKIZAJI___END OF THE DAY CITY NAYE ATANYUKWA NA KUTOLEWA OUT KABISA.


SO UBINGWA UTABAKIA SPAIN.

KWENYE GROUP ANAYE-ONGOZA NI MADRID BWANA NA SIO SPURS___
 
We jiulize tu kwanini ma-legend wa SokA ulimwenguni wameikimbia EPL kuanzia Messi, Gaucho, Real Ronaldo, Zidane, Cannavaro, Rivaldo nk.....ni kwasababu EPL hailei vipaji
Unataka iwalee vipi? Hao ndo malenged pekee wa mpira.
 
HAPO ATAKAE TAMBA NI MAN CITY TU WENGINE WASINDIKIZAJI___END OF THE DAY CITY NAYE ATANYUKWA NA KUTOLEWA OUT KABISA.


SO UBINGWA UTABAKIA SPAIN.

KWENYE GROUP ANAYE-ONGOZA NI MADRID BWANA NA SIO SPURS___
Anaongoza Spurs,rudi tena kaangalie msimamo
 
Africa hata angekuepo aliye kua kwenye kiwango bora basi unadhani wange muweka! Anhaa
 
We jiulize tu kwanini ma-legend wa SokA ulimwenguni wameikimbia EPL kuanzia Messi, Gaucho, Real Ronaldo, Zidane, Cannavaro, Rivaldo nk.....ni kwasababu EPL hailei vipaji
kwa kuwa huwezi kupiga watu chenga kijinga kule..huko kwa wapaka poda inawezekana
 
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...

Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...

Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..

1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool

Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...

Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?

Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
 
wewe unaesema kwamba EPL ni the best league nani kakudanganya angalia hata takwimu zinakuonesha kwamba CL imekaa Spain miaka 3 mfululizo bisha uchekwe
 
Back
Top Bottom