Prince_Nurudin_Tz
Senior Member
- Jun 28, 2024
- 172
- 133
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi game simba wangeonesha hata kupitia YouTube Channel yao, kuongeza viewersKwani game inaoneshwa?
Nikiona tu Jina la Onana nasikia Kukasirika mno kwani nimeshasema si Mchezaji anayefaa Kuichezea Simba SC yetu.
Haionyeshwi na apdet za mchezo wanatowa kwenye Simba AppKwani game inaoneshwa?
Ka ponea kwenye tundu la sindano ala Mimi naona Ata wa prov worng watu wengNikiona tu Jina la Onana nasikia Kukasirika mno kwani nimeshasema si Mchezaji anayefaa Kuichezea Simba SC yetu.
Jicho Kali la Kiufundi na la Kimichezo la GENTAMYCINE halijawahi kukosea Mkuu. Onana hajui Mpira na hatufai pia SSC.Ka ponea kwenye tundu la sindano ala Mimi naona Ata wa prov worng watu weng
Nani Wao au Sisi?washapigwa moja huko [emoji1787]
Safi sana kwa kuwepo huyo Mpuuzi Onana hata katika Benchi naomba tufungwe mengi na katika Derby tufungwe tena.Mshapigwa Tayari
Safi sana kwa kuwepo huyo Mpuuzi Onana hata katika Benchi naomba tufungwe mengi na katika Derby tufungwe tena.
Huko south nasikia wamecheza na kikosi cAhsante tumeshinda hata kama sijaona game. Watani zetu wangesema saaana kulingana na wanavyokiwasha huko South.
Deeeki makoloo